Ni kuumia roho au kuhurumia wajinga wasiojitambua. Ni mpumbavu peke yake anayeweza kuunga mkono upumbavu unaofanywa na CCM kupitia mnada wa akina Mtulia! Hizo bilioni zinazoteketea huko Kinondoni leo zingefanya mambo mangapi? Wiki hii magazeti yametumia picha za shule watoto wanaketi chini na shule nyingine mbavu za mbwa hata watoto wamelazimika kukaa chini ya miti kuepuka kudondokewa na hilo jengo la mbavu za mbwa, halafu wajinga nyie mnashinda mitandaoni bila aibu kushangilia upumbafu huo kwa malipo ya makombo mnayorushiwa ...ovyooo kabisa nyie watu!