MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,512
Bora umikubali we mjingalao[emoji196] kwamba wembe uliowanyoa akapatikana mtulya sasa unatumika tena huohuo kuwakwangua manyoya yoteKama hujaja Kinondoni viwanja vya Biafra basi utakuwa umekosa mengi....Najua upande wa pili kumedoda sana tu....karibu Biafra!!
View attachment 685600
kama ulikuwa hunyowi sasa utanyolewa kavkav kama ukiogopa maumivu wahi kaloweshe upigwe kipara kimoja kinakutosha[emoji111]