Malkia bora
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 765
- 524
Kama kura ya songea ileta utata wakati walikuwa wenyewe sembuse ya kinondoni?
Chama la Wala rushwa Hilo
Fisiem
Mkuu usijari, kwenye siasa na rafu zimo [emoji106][emoji106][emoji106]Kama CCM akinunua huyu jamaa wa CUF atakuwa kufunga bao dk 90
Kamati kuu imekaa halafu haijaongelea kwa nini wanunge na madiwani wake wananunulika!
Hahaha uwiiiMnataka ahamie chadema mumsafishe?
SadLowassa atawafukuza kikaoni maana Yeye ndie muasisi wa kununua Chama na Makalai yake
Fuso hubeba mizgo cyo watu! Nadhani wabebwaji ni mizgo !Fuso ni kawaida kwenye mikutano ya CCM ulitaka wafuasi watembee kwa mguu au punda?
Wanakula chakula !Huko kwengine wanakula nini?
Fuso hubeba mizgo cyo watu! Nadhani wabebwaji ni mizgo !
Hii leo uwanja wa mapilau mnyamalapicha ya mwaka gani hii?
Makamanda wamepigwa na butwaa leo.mkutano safi sera safi.
Diwani wa kimara; manota ahamia ccm.
kinondoni ushindi ni dhahiriMakamanda wamepigwa na butwaa leo.