Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 19,021
- 9,177
Kulivua gwanda limelivua maana siwezi ushirikina wenu kila usiku hamlali kazi kuwangia watu.. naipiga vita kweli kwa sababu inapotosha watu na sio Chadema tena bali UKAWA yenye lengo la kutugawa wananchi na siamini katika separation..Kwa hiyo nisome vizuri, na uwaambie wenzako wa UKAWA wanaotaka kugawana ili wavimbe zaidi matumbo yao yasotosheka..nawasikitikia Mbowe na Slaa tu pale maana sikutegemea wanaweza kuuvaa mkenge huu lakini pengine NDIVYO WALIVYO....
I thought ACT wameomba kujiunga? unazungumziaje jilo? inamaana iliyemuamini zitto anakusaliti kwa kujiunga ukawa yenye malengo ya kuligawa taifa?