FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
Yericko Nyerere ni muongo, hata akisema saa hizi nje kuna mvua ingawa nnaisikia lakini mpaka nikatazame.
Anajidai kuandika kama vile yumo ndani ya hicho kikao. Na misukule inashangilia.
Anajidai kuandika kama vile yumo ndani ya hicho kikao. Na misukule inashangilia.
Last edited by a moderator: