vipi na halima mdee kakomaa kama dume na fununu kuwa kaoa jike!
Mkuu si kweli watoto wa kiznji wengi au kama wnyw wasemavyo majoritee, mimi nilikutana na mtoo ana damu ya kiaraabu aksam warahiii mimi sikujua kumbe wabara ni mwa moto namna hiiiii
NI PESTIGE ZANZIBAR KUOLEWA au kuwa na bwana mbara trust me.
Sijui serikali inasita nini kuwasikiliza hawa watu!Tumeshachoshwa na kelele zao wangepewa tu nchi yao!Kwanza Bara tutajiongezea mapato kwa makusanyo ya Kodi Kariakoo,Ilala na Tandika toka kwenye maduka ya wawekezaji toka Zanzibar maana tutawahesabu kama raia wa kigeni kama wachina na wahindi na hivyo watatulipa zaidi. Huu Muungano uvunjwe tu sasa tumechoka!!!!
wewew zenj bwana yako.. tunabubruza huko milioni 45 nyinyi.. tunawapangia kila kitu...mnakula majob sisi tunatafuna watu wa kizanzibari... ma mwinyi tumekaa zenj nji trekta mnapiga job mnaletwa kwamabwana wa kizenj.. tuliwamiliki na mkilteta habari sizo tunaendelea kuburuza........Nyie Wazanzibar mkomeeee....tena mkome Mara mia.
Aseee, mnatu jwesa tu.....Kama Muungano hamuutaki si mpige kura ya kujitoa au muje na maadhimio yenu, ninyi kila siku kutoa singo tu....tena nasema mkomeeee.....na Uliberali wenu huko huko.
wewe kaka usharejea kupima akili yako..Seif ni mhaini na amevunja katiba aliyoapa kuilinda na kuitetea. Anapaswa kukamatwa mara moja na kufikishwa mahakani bila kusita. Wachochezi hawa ndio wanaoleta shida na matatizo nchini mwetu. Huu ni ukabila ni udini na ni kutugawa watz.
Soo hi ni Uamsho part 2 au?
Hivi Zanzibar ni Jina la Visiwa vyote viwili? Msaada tafadhali... Kwenye Ramani haionyeshi - nitafurahi ukinipa hilo JIBU
Zanzibar aka zenjibar ni mkusanyiko wa visiwa vya unguja na pemba. Whats wrong?
Zanzibar aka zenjibar ni mkusanyiko wa visiwa vya unguja na pemba. Whats wrong?
Hatimae Bara unakaribia kupata pato jipya kwa kuwalipisha viza na vibali vya kuishi na kufanya kazi Bara huku tukiwauzia Umeme na chakula Kama Nchi Jilani kwani wazenji sasa wamelewa sifa na kujisahau Kuwa Bara ni Tajiri sana hata wakijitenga Bara haitayumba sana sana itakuwa tajiri zaidi kwani mgao wa zenji utabaki na kujiendeleza kiuchumiWazanzibari wanadai mamlaka kamili ya nchi yaoMazruiMediaLive on USTREAM: We are broadcasting live from MazruiMedia Studio!. Local News
....kwa nn ndugu zetu wa damu mnapenda kuripoti mabaya tu ya ndugu zenu wa damu ?
Kwasababu mmewaita Tanganyika ni bomba la mavi, sasa bomba la mavi kazi yake kuripoti habari?
huenda wameitwa kwa kua wao wanatoa uchafu tu wa wenzao heri hawaitaki, sina hakika lkn
yeah, yaliyomkuta Obote toka kwa Idd Aminumesomeka mkuu..
mambo ya miaka ya 60-80s,
rais akisafiri nchi kauza.
maalim ubavu anao sasa?