Mwanaume gani anaongea kama shoga.
Na kwa kumalizia Maalim Seif amewaambia Wazanzibar kutokubali katiba mpya kama haya mambo hayataainishwa kwenye katiba hiyo!
Mie nadhani wangekwenda kudai kwenye Mkaburi ya waasisi wa Muungano, sasa hapo Kibanda MAITI wanamdai nani?
Nawapa pole sana hao jamaa zangu
Mmemuuliza kuwa yeye mbona juzi juzi kakabidhiwa kitambulisho cha Utanzania?
Je, amewambia ni raslimali zipi ambazo anataka zanzibar iachiwe?
Seif ni mhaini na amevunja katiba aliyoapa kuilinda na kuitetea. Anapaswa kukamatwa mara moja na kufikishwa mahakani bila kusita. Wachochezi hawa ndio wanaoleta shida na matatizo nchini mwetu. Huu ni ukabila ni udini na ni kutugawa watz.
kwani watanganyika wanafaidika na nini kwenye huu Muungano, inaonekana kama hawataki kuiachia zanzibar, kunanai!