Mutakyamirwa
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 4,942
- 1,360
Hii ya leo kali. Sidhani kama ktk utawala wa Nyerere, Mwinyi na hat Mkapa mkutano kama huu Zanzibar ungeliruhusiwa kufanyika. It's a silent revolution accorded by the current regime. Hii ndoa ya kaf na magamba kuna mengi. Hnnn...my own eyes, haswa kwa wale waasisi wa muhungano. Utawala huu, kwa ndoa hii, kwa mashinikizo ya serikali tatu,....muhungano utadumu kweli? JK ataiheshimu katiba JMT?
Tutaona mengi before 2015
Tutaona mengi before 2015