Kutoka Kibanda Maiti - Zanzibar

Kutoka Kibanda Maiti - Zanzibar

kwenye sayansi jambo lolote huanza na dhana, kisha ndio inakuja ithibati. na dini ya kiislam inasema baadhi tu ya dhana ni dhambi. kutia mkazo dhana ni moja ya hatua wa kuujua ukweli
 
Mie nadhani wangekwenda kudai kwenye Mkaburi ya waasisi wa Muungano, sasa hapo Kibanda MAITI wanamdai nani?
Nawapa pole sana hao jamaa zangu

Mbona unaongea pumba broo.,, Usiongee maneno kila mtu akajuwa kama elimu yako ni ya msingi au hukupitia darasa kabisa.
 
Hii ya leo kali. Sidhani kama ktk utawala wa Nyerere, Mwinyi na hat Mkapa mkutano kama huu Zanzibar ungeliruhusiwa kufanyika. It's a silent revolution accorded by the current regime. Hii ndoa ya kaf na magamba kuna mengi. Hnnn...my own eyes, haswa kwa wale waasisi wa muhungano. Utawala huu, kwa ndoa hii, kwa mashinikizo ya serikali tatu,....muhungano utadumu kweli? JK ataiheshimu katiba JMT?

Tutaona mengi before 2015

Hata wewe enzi za Nyerere, Mkapa, na Mwinyi usingeweza kuandika ulichoandika hapa. Kwa hiyo Kaa ukijua kuwa dunia inazunguka.
 
Twende mbele tuludi nyuma ZNZ kuna nini zaidi ya Vijikarafuu ,watalii na ndoto ya mafuta baharini?wamesahau bara bahari ni kubwa Tokea mtwara hadi Tanga na mafuta na gesi vimejaa tele bila kusahau madini mazao mbuga za wanyama na rasirimali zisizo na mfano Duniani hakika Tz Bara ni Nchi tajiri sana endapo ufisadi utachomwa moto na kuteketea kabisa .Tanganyika bila zenji inawezekana si tena itakuwa super power Kama Rusia (Urusi) ambapo wengine walijitenga lakini Rasia ipo juu kiuchumi kuliko wenzake Elimu ya form 3 imeshaingia wengi kudanganyika kirahisi wakidhani Bara Inawanyonya kumbe wao Ndio wanainyonya bara kwani bara Ina pato kubwa la taifa kuliko zenji lakini linagawanywa kwa usawa pasipo kujali zenji ni padogo sana

Sasa mbona tunawang'ang'ania?
 
wewew zenj bwana yako.. tunabubruza huko milioni 45 nyinyi.. tunawapangia kila kitu...mnakula majob sisi tunatafuna watu wa kizanzibari... ma mwinyi tumekaa zenj nji trekta mnapiga job mnaletwa kwamabwana wa kizenj.. tuliwamiliki na mkilteta habari sizo tunaendelea kuburuza........

Sasa kama mpo hivyo mnavyo jinasibu kelele zinatoka wapi? si mtulie tu ili muendelee kuwa mabwana sijui mabwabwa....
 
Zanzibar has a rich history which cannot be wiped away so easily. Zanzibaris have a sense of history, Wanzibari wanajitambua. All is well that ends well, inshallah this will end well.
 
Kwani Serikali inatumia njia gani mkuu kumaliza kero za muungano? Usiniambie kuwa hujui kuwa kuna hadi waziri anayeshughulikia kero za muungano kwenye serikali ya JMT!

Mimi na hata watanzania walio wengi hawajui kama kuna waziri ambaye anakula mshahara kwa kushughulikia tu kero za muungano!!! KERO! KERO! KERO! Hivi hizi kero za muungano zinamkera nani hasa??
 
Mimi na hata watanzania walio wengi hawajui kama kuna waziri ambaye anakula mshahara kwa kushughulikia tu kero za muungano!!! KERO! KERO! KERO! Hivi hizi kero za muungano zinamkera nani hasa??
znawakera wazenji
 
"Ukome ukome tena ukome mara mia" mbunge wa CUF alipokuwa anamtukana Wenje.

Mwanaume gani anaongea kama shoga.

ni ukaripiaji wa kistaarab... ulitaka aseme MSE#$# AU Matusi ya nguoni ndio umuone mwanamme ... watu wa bara bana.. ovyo ustaarabu zero kabisa ...
 
Back
Top Bottom