Hivi Mzee Moyo yupo hapo Kibanda maiti ? Hahaha hahaha hahhaaaa...
Msalimieni sana my Mentor ! Natamani Zanzibar ipate uhuru wake leo leo isifike hata kesho !
hakuna haja ya gonjera na makelele ya kila siku kuhusu muungano, ambao binafsi naona uko kipropaganda zaid,hapo umeongea mkuu.mfano nzur refer to old east africa community and the newly one
Kwa ni rais Kikwete hawezi kukaa nao kwenye meza ya mazungumzo wakayamaliza? Au yeye anajua kukomalie wengine wakae kwenye meza ya mazungumzo!!
Maalim anajua wazi kuwa Muunano ndio unamharibia madili yake ya kuinganisha Zanzibar na Sultan wa Oman, anajua wazi kuwa Muungano ndio unamfanya aonekane hana nguvu na dhaifu, anajua wazi kuwa Muungano ndio uliomfanya aukose Urais wa Zanzibar mara zote hizo.Maalim Seif what a hopeless old and lost Politician! Ana zunguka na Agenda za mipasho nia ya CUF na MAalim Seif ni kuvunja Muungano,Aseme tu Muungano Uvunjike sio kuja na taarabu za kijinga!
Hiyo kodi kariakoo sio issue kwani wazenji wapo bara tu hata uk na sehemu zingine ulimwenguni kua na akili wewe
Muungano kama koti
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Zanzibar huru inawezekana.
"Ukome ukome tena ukome mara mia" mbunge wa CUF alipokuwa anamtukana Wenje.
Mwanaume gani anaongea kama shoga.
umesomeka mkuu..Na mkishindwa leo ndio mjue basi tena, Shein yuko China akiangalia maeneo ya kihistoria, JK anajimwaya Japan kuinadi nchi; nchi nyeupeeeeeeee!
Hivi watu wakidai chao ni wanaharamu?ndio maana mafisadi wanatamba tanganyika coz mnajihisi wanaharamu mkidai chenu.
Mkuu si kweli watoto wa kizenji wengi au kama wnyewe wasemavyo majoritee, mimi nilikutana na mtoo ana damu ya kiaraabu aksema warahiii mimi sikujua kumbe wabara ni wa moto namna hiiiii
Sisi Wengi Wabara hatuutaki huo Muungano; Wengi wao ni ZPPP hawaipendi NGOZI nyeusi... let them GO