Kutoka Kibanda Maiti - Zanzibar

Kutoka Kibanda Maiti - Zanzibar

Mpaka sasa hawajamsimika Rais mpya? Bendera za Muungano hazipo kiwanjani?
Hao ni waoga wakajifunze Juba south sudan.
 
Sijui serikali inasita nini kuwasikiliza hawa watu!Tumeshachoshwa na kelele zao wangepewa tu nchi yao!Kwanza Bara tutajiongezea mapato kwa makusanyo ya Kodi Kariakoo,Ilala na Tandika toka kwenye maduka ya wawekezaji toka Zanzibar maana tutawahesabu kama raia wa kigeni kama wachina na wahindi na hivyo watatulipa zaidi. Huu Muungano uvunjwe tu sasa tumechoka!!!!

hahahahahahah
 
Matusi hayatosaidia kuwazuia waz'br wasidai jamhuri ya watu wa z'br,ZANZIBAR KWANZA.
 
Mpaka sasa hawajamsimika Rais mpya? Bendera za Muungano hazipo kiwanjani?
Hao ni waoga wakajifunze Juba south sudan.

hawawezi mikikikiki ya wapigania kristo wa south sudani, jezea salvakirr na john garang wewe!
 
Wameenda "kibandamaiti" wanajijua ni maiti ndio maana wameingia kibandani kwao.Wanzanzibar umasikini wao umekuja ktk mambo mengi ya kifikra na kiimani.

Inaweza shawishi madictator kuwafutilia mbali kuliko wabadili kwa elimu na kuwastaarabisha.zenj nchi nzima utadhani wodi ya vichaa milembe,kila kichaa ni mjuaji.Ukiwauliza wanajua nini wanaanza angaliana.
 
Nyie Wazanzibar mkomeeee....tena mkome Mara mia.

Aseee, mnatu jwesa tu.....Kama Muungano hamuutaki si mpige kura ya kujitoa au muje na maadhimio yenu, ninyi kila siku kutoa singo tu....tena nasema mkomeeee.....na Uliberali wenu huko huko.
 
nyinyi watwana mtaendelea kuumia na nawatahadharisha mtaziharibu mimba zenu kwa kuchukia wazenj kudai wanachokiamin wanahaki ya kukidai. mnashndwa kujiamini. wazenj wakidai mnakuja juu mnakacrka hamupendi
wengne ctaki nataka ah! kweli mbara c mtu
 
Wapemba wanawauma nin! Mana mambo yanafanyka zanzbar mmeng'ang'ania wapemba
Mungu awasaidie wapate Nchi yao. Naona hapa wanawake wa kipemba walipo bara wanasubiri nchi yao ya ahadi. Hawataki kuolewa na wabara eti wanasubiri kurudi kwao waolewe na wapemba wenzao. utafikiri wapo ukimbizini. Nawatakia kila la heri. mia
 
Tokea mlikuwa mnawauwa waz'br mpaka sasa mnabaki kuwatukana hoja hamna tena,muflis.

mnacho mnachonufaika. kama hamna mngetuacha tukapumua. ah hatuna raha na maisha kwa washenzi hawa. tumechoshwa na tafrani zao
 
Sijui serikali inasita nini kuwasikiliza hawa watu!Tumeshachoshwa na kelele zao wangepewa tu nchi yao!Kwanza Bara tutajiongezea mapato kwa makusanyo ya Kodi Kariakoo,Ilala na Tandika toka kwenye maduka ya wawekezaji toka Zanzibar maana tutawahesabu kama raia wa kigeni kama wachina na wahindi na hivyo watatulipa zaidi. Huu Muungano uvunjwe tu sasa tumechoka!!!!

Mkuu angalia wasije kukukibanda au kukumwangosi kabisa!
 
Wangeenda kudai uhuru wao kibanda uhai. Huyo maiti sijui kama ana msaada hata kidogo.
 
Umeanzalini kuwashauri watu juu ya Ushirikina ? Since when makaburi yakadaiwa..... Umechanganyikiwa ?

Hata wakisimama katikati ya Bahari na kudai Uhuru wao wewe kinakuuma nini ?

Isiyoowasha hujailambaa.... Waacheni wapumue na nchi yao !

wewe unamatatizo ya kufikiri.
Unataka kusema haikukeri kila siku kusikia malalamiko ya kutaka uhuru zaidi katika Muungano wakati wanaofaidi ni wao na hawaoni. Mwisho wake siyo mzuri.
Wazanzibari wamejaa bara, wamewekeza simchezo na hakuna anayewadhuru LAKINI wewe ukaenda Zenji utaona na hata inawezikana watakuondoa.
Kazi ya muungano ni nini ? nianzishe kuwanufaisha wazanzibar au nini hasa waache waende zao.
Sioni faida hasa kwa sisi wa bara.
Hivi ni nini hasa tunachowabembelezea ? Hivi wanapumua au wanaonyesha jinsi wasivyojua ? Tukianza sisi wa bara wao ndiyo watakaopata hasara.
 
wewe unamatatizo ya kufikiri.
Unataka kusema haikukeri kila siku kusikia malalamiko ya kutaka uhuru zaidi katika Muungano wakati wanaofaidi ni wao na hawaoni. Mwisho wake siyo mzuri.
Wazanzibari wamejaa bara, wamewekeza simchezo na hakuna anayewadhuru LAKINI wewe ukaenda Zenji utaona na hata inawezikana watakuondoa.
Kazi ya muungano ni nini ? nianzishe kuwanufaisha wazanzibar au nini hasa waache waende zao.
Sioni faida hasa kwa sisi wa bara.
Hivi ni nini hasa tunachowabembelezea ? Hivi wanapumua au wanaonyesha jinsi wasivyojua ? Tukianza sisi wa bara wao ndiyo watakaopata hasara.

Kwanza malizeni huo udini unao watafuna watanganyika kila ku-kicha, baadae angalia masuala ya Zanzibar. Kuna hatari ya Tanganyika kusambaratika kwa msingi wa kidini katika kipindi kisichozidi miaka 10...Wznz wameona mbali.
 
Kikwete kutona na unafiki wake yatamuharibikia mengi sana kwa kweli...
 
Kwanini huo muda wasiutumie kwa kucheka? Kwani Baraza la Wawakirishi lina kazi gani? Waambieni wawakilishi wajitoe kwenye Muungano wa Tanzania. Mlipounda serikali ya umoja wa kitaifa mlisema sasa mtapaa kimaendeleo, bahati mbaya haijawa. Vunjeni muungano labda mtapaa. China na ukubwa wake haina makamu wawili wa rais,serikali imekuwa sehemu ya watu kugawana madaraka badala ya kutumikia wananchi.
 
Back
Top Bottom