Tedo I am already there (Jangwani)
Mkuu usiwalaumu hao wanaagizwa tu kwa kweli haingii akilini kwa kitu kama hicho.
Kwani siku zote watu wanapotembea kwa miguu huwa wanalindwa na polisi? Wanalindwa dhidi ya nini? Au sielewi?
Ni kweli mkuu,lakini hivi kweli hawa Polisi wakiongozwa na Kova ina maana akili zao ziko likizo?hawawezi kuzitumia?!!!!!
mpaka wanaelekezwa kufanya vitu vitakavyowafanya waonekane mataahira mbele ya watanzania?