quimby_joey
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 390
- 164
kwa mfano kati ya katiba na sheria ya nishati na madini, sheria ya uwekezaji na sheria iwayo yoyote ile, ipi ya kuheshu zaid? kati ya sheria na katiba, kipi kinatakiwa kulinda na kuheshimu chenzake? Je inatakiwa katiba iheshimu sheria au sheria ziheshimu katiba?
Katiba ni mama wa sheria zote na iwapo itatokea sheria mojawapo inakinzana na katiba basi sheria ile inakosa nguvu. Kama nitakuwa nimekuelewa vizuri unamaanisha kwamba katiba ilikiukwa katika kuingia mkataba ule, sasa ni kipengele kipi /vipi vilikiukwa? lazima tuainishe ile tuwe na pa kusimamia. ili kujiridhisha kwa hili tafuta mkataba wa TANESCO na DOWANS uusome kisha uainishe kama ulikiuka vipengele vya katiba yetu vinginevyo tunarudi palepale