sheria??????? to hell with it.kama inatukandamiza haina msaada wowote,jamani tuandamane tupinge hii hukumu na pia waliotusababishia hayo wapelekwe mahakamani na wafungwe...
nchi yetu inaliwa jamani,watoto wetu tutawapa nini? tumekaa tunaangalia wachache wanaifilisi inchi yetu? wanawekeza kwa ajili ya watoto wao wa kwako atakula nini? jamani chonde chode tuamke wapendwa.
this is too much,it is intolerable and i we should not take it any longer.
nchi yetu inaliwa jamani,watoto wetu tutawapa nini? tumekaa tunaangalia wachache wanaifilisi inchi yetu? wanawekeza kwa ajili ya watoto wao wa kwako atakula nini? jamani chonde chode tuamke wapendwa.
this is too much,it is intolerable and i we should not take it any longer.