Wazambia ni kama waganda tu, wengi wao wanajua kiswahili sana tu lakini huwa wanajifanya hawajui, watu ambao huwa wasikia na kuongea kiswahili bila kuona aibu ni wanyarwanda, warundi na wakenya .Hivi Zambia hawajui kiswahili?
On behalf of myself
anaona sifa kutumia rungu ,kuwa kiongozi wa nchi inatakiwa utumie busara ya hali ya juu sana na cyo rungu bora hata huyo anaekunywa pombeDaaah,mtumia RUNGU tumekuelewa aisee
Kama kiingereza tatizo au confidence hana! Kwanini isiandaliwe hotuba nzima ya kiingereza ili asome tu yaishe. Je na yeye akenda ziara Zambia waongee kiluga chao? How would he feel? Kwa kweli anachemsha! Hata kama kiingereza anakijua pamoja na PhD yake, kuto kukiongea inatia shaka kwamba uwezo na hiyo lugha hana. itakuwa vichekesho kwenye maneno km assess n acces.....
Hivi kwanini nyie ngozi nyeusi huwa hamko proud na vitu vyenu?? Katika races zote weusi ndio huwa hawajitambui why????? Ni shauri ya utumwa??? Maana hata matajiri wa kiarabu tu huwa wakienda nchi zingine wanaongea ki lugha chao kwa nini ni nyie ngozi tu ndio wenye shida kushadadia wazungu ???Acha kutetea wasiojua ngosha lugha hajui ndio maana anajifichia kwenye lugha ya kiswahili, Jiulize mbona mama yetu wa zenji huwa anatema yai vzr tu
Jibu swali mbona mama yetu wa zenji huwa anatema yai,?Hivi kwanini nyie ngozi nyeusi huwa hamko proud na vitu vyenu?? Katika races zote weusi ndio huwa hawajitambui why????? Ni shauri ya utumwa??? Maana hata matajiri wa kiarabu tu huwa wakienda nchi zingine wanaongea ki lugha chao kwa nini ni nyie ngozi tu ndio wenye shida kushadadia wazungu ???
Ni sawa lakini ndio hio hio akili ya kitumwa, tuige wenzetu tu wengine, kiingereza ni lugha kama zingine kisiwe ndio ni lazima kiwe kila kitu tuipende lugha yetu.Jibu swali mbona mama yetu wa zenji huwa anatema yai,?
Upo sahihi kbs lakini kwanini imekuja awamu hii tena kwa mtu mmoja mzee wa on behalf of myself tu?Ni sawa lakini ndio hio hio akili ya kitumwa, tuige wenzetu tu wengine, kiingereza ni lugha kama zingine kisiwe ndio ni lazima kiwe kila kitu tuipende lugha yetu.
english is among of the international lg=english is one among the international lg!English is among of the international lg
Sio kujua kimombo kwa nini mtumie lugha ya wakoloni na lugha yenu ipo?? " "Emancipate yourselves from mental slavery" ..kwa nini wachina, japan, France na wengineo wanaongea lugha zao sisi ngozi ndo tuna shida kuigaiga tu lugha za wenzetu.. tubadilike! Ngosha onyesha njia baba.
Kwa kuandikiwautakuta maccm yanatetea hapa wakati mzee wao hajui umombo hivi udoctor wanaupataje jamani