Kutoka IKULU: Ziara ya Rais wa Zambia Mhe. Edgar Lungu nchini Tanzania

Ah ah ah ah
Wana kule kienglish ya chemistry n very simple wajua

Nikumeza na kutapika
Kuna.maneno.common.mnoo

Alafu hata kuandika repory hata haijalisha sana na.mtenses ,tatozo mangwin mnafwatilia mnoo..ah ah ah daah mtamuua mkuu
 
jamani mbona wachina hawajui kiingereza? au kwa kuwa ni Phd holder?

Tafuta misingi ya arguments. Wachina hawajui kiingereza, uliambiwa wanasoma elimu yao kwa kiingereza? Ulisikia china Kiingereza ni lugha yao ya kiofisi?

Kama hujui kizungu usihalalishe dalili za tatizo kuwa tatizo kubwa.

BTW, unasemaje kiingereza na uzungumzaji wa mkarimani?
 
Eti Kisingizio cha Uzalendo wakati lugha haipandi
Sio kujua kimombo kwa nini mtumie lugha ya wakoloni na lugha yenu ipo?? " "Emancipate yourselves from mental slavery" ..kwa nini wachina, japan, France na wengineo wanaongea lugha zao sisi ngozi ndo tuna shida kuigaiga tu lugha za wenzetu.. tubadilike! Ngosha onyesha njia baba.
 
Sio kujua kimombo kwa nini mtumie lugha ya wakoloni na lugha yenu ipo?? " "Emancipate yourselves from mental slavery" ..kwa nini wachina, japan, France na wengineo wanaongea lugha zao sisi ngozi ndo tuna shida kuigaiga tu lugha za wenzetu.. tubadilike! Ngosha onyesha njia baba.
Acha kutetea wasiojua ngosha lugha hajui ndio maana anajifichia kwenye lugha ya kiswahili, Jiulize mbona mama yetu wa zenji huwa anatema yai vzr tu
 
Hakuna ishu ya uzalendo. Ngosha anatia aibu. Na kama alitaka wananchi wake waelewe kinachozungumzwa, naombeni mnijuze kma kila alipoongea rais wa Zambia kuna mtu alitafsiri kwa Kiswahili.
Ukosoaji huu wa mwendokasi wa Mkulu,ndio unaowafanya Lizaboni na wenzae wakosekane humu!punguzeni wakuu,dah!
 
Back
Top Bottom