Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,580
Sikonge ,
Tatizo ni kuwa by the time tunapata hicho "kikombe kisafi" breakfast time imeisha na ni lunch-time au pengine dinner-time! Sasa kwanini tusitumie kifuu kuinywa hii chai kabla time haija elapse?
Mchawi ni mchawi tuu haiwezekani kama alikuwa anatafuta viti na spika leo atoe tangazo kuwa ukumbi uko shwari na pia Bunge haliamini kwenye ushirikina.
Tamko la Spika la leo asubuhi ni kuwa kulikuwa na jambo la kishirikina ila Bunge haliamini kwenye ushirikina hivyo ni kweli kuwa kulikuwa na mambo ya Teknologia ya made from Bariadi ,huku si ndio kule maalibino wanapotea sana ?
Kuna Mbunge mmoja kaniambia kuwa waganga wanaakili sana kwani wanaweza kumwambia mtu atembee uchi na hakuna atakayeweza kumwona na mtu huyo akaamini hata kama ni mwanasheria aliyesoma Havard, mbele ya mganga hakuna akili ..
Jamani mwacheni Andy!jalini mambo yenu!Mambo ya Andy mwachie yeye mwenyewe!Yaani maneno mengine kweli ni ya kusadikika!yaani conditional kibao!
yaani hilo wazo ulilotoa hapo halitakaa litokee!
Asante
Hollo
huu sio uchawi hapa jamani msimuonee chenge. wewe unategemea msomi wa Harvad anaweza kufanya uchawi? watu wamezidi kuchonga kweli, Kikwete alipoanguka mara mbili kwenye kampeni watu wakasema uchawi. Wanaccm wakienda bagamoyo kujiliwaza baada ya kazi ngumu ya kujenga nchi watu wanasema uchawi.
Mwacheni Chenge ajenge jimbo la bariadi na kuwasaidia wananchi wake.
ok asante kwa mawazo yako!ila haiwezekani kumuondoa duniani Andy!ni mpaka MUNGU mwenyewe aliyemuumba aamue!Hollo,
Mtoto wa NYOKA na yeye ni NYOKA. Kuna ujumbe nimesoma kuwa Dr. Mwinyi alikuwa akicheka wakati MAFISADI wakipewa UPPER-CUT kama zile za TYSON. Sasa kwa maana hiyo inaonekana mtoto wa MWINYI ni mpinzani wa UFISADI. Na kama ni hivyo basi kama BABA mtu alifanya na sasa hawezi, si tumpe mwanae? Tena ma-DR mara nyingi kutoa ROHO ya mtu kwao si shida sana. Wanaweza kukutoa kwa muda na kukupa tena. Ukiwatibua wanakutoa moja kwa moja. Mie napendekeza KAZI hii ya KUMKONGWE ANDEREYA aifanye mtoto wa Mzee Ruksa.
huu sio uchawi hapa jamani msimuonee chenge. wewe unategemea msomi wa Harvad anaweza kufanya uchawi? watu wamezidi kuchonga kweli, Kikwete alipoanguka mara mbili kwenye kampeni watu wakasema uchawi. Wanaccm wakienda bagamoyo kujiliwaza baada ya kazi ngumu ya kujenga nchi watu wanasema uchawi.
Mwacheni Chenge ajenge jimbo la bariadi na kuwasaidia wananchi wake.
Thubutu! watu wameogopwa kugeuzwa msukule......itajulikana tusasa yeye Chenge ameulizwa na waandishi kuhusu suala hili au ndio wote wanagwaya wakimdhani "kigagula"?
sasa yeye Chenge ameulizwa na waandishi kuhusu suala hili au ndio wote wanagwaya wakimdhani "kigagula"?
Thubutu! watu wameogopwa kugeuzwa msukule......itajulikana tu
Tehe tehe tehe hayo ndiyo ya Andrea ndugu yake na YakoboMkuu
Mtu wameisha sema ana maskadi unafikiri hapo kuna wa kumsogelea? nafikiri si ajabu ukasikia hata waheshimiwa wanaokaa karibu naye wakiomba kubadilishiwa viti.
huu sio uchawi hapa jamani msimuonee chenge. wewe unategemea msomi wa Harvad anaweza kufanya uchawi? watu wamezidi kuchonga kweli, Kikwete alipoanguka mara mbili kwenye kampeni watu wakasema uchawi. Wanaccm wakienda bagamoyo kujiliwaza baada ya kazi ngumu ya kujenga nchi watu wanasema uchawi.
Mwacheni Chenge ajenge jimbo la bariadi na kuwasaidia wananchi wake.
Sasa hivi Chenge amekuwa kama Mgonjwa wa UKOMA. Kama siyo JF sidhani kama watu wangelifahamu hili. Hii inanikumbusha story moja pale Ilala. nasikia gari la maji machafu likiwa kazini mara mpira ulifyatuka na jamaa mmoja akarushiwa choo na kulowa mwili mzima. Sasa jamaa akaanza kuwakimbiza wafanyakazi wa gari hilo ili awafunde. Jamaa si tu kuwa walimgwaya ingawa inasemekana alikuwa anatembeza masumbwi vizuri sana, ila tatizo ni kuwa kila sumbwi lake moja au teke ni kwamba anakupaka na choo. Jamaa alikuwa kama gari kwenye barabara la vumbi, ukiliona linakuja unalipishia mbali. Kuna haja ya kusikiliza ule wimbo wa "Masoud, amekuwa jambazi, ukikutana naye usiku mpishie mbali, ama si hivyo atakudhuru baba..." By the way mwuulizeni Mkwanyembe kama hakukutana naye hivi karibuni kabla hajaugua.sasa yeye Chenge ameulizwa na waandishi kuhusu suala hili au ndio wote wanagwaya wakimdhani "kigagula"?
Jamani mwacheni Andy!jalini mambo yenu!Mambo ya Andy mwachie yeye mwenyewe!Yaani maneno mengine kweli ni ya kusadikika!yaani conditional kibao!
yaani hilo wazo ulilotoa hapo halitakaa litokee!
Asante
Hollo
Ya kweli hayo?????????na wewe sema tu!tutakupeleka "GAMBOSHI" shauri yako!
kwi kwi kwi!im joking!
Hollo
Habari iliyopo kwa sasa ni kuwa alikuwa anatafuta nafasi ya kukaa ili kesho yake asubuhi asihangaike!mimi ndivyo ninavyojua!hii ya uchawi mimi siifahamu!hivyo basi siwezi kukaa kimya hapa na kuona Chenge anasingiziwa habari ya uchawi!mlimzushia kifo hiyo haikuwatosha!jamani Give him a breakangekua huo uchawi wake kaufanyia nyumbani mwake kwa mkewe na wanawa,sidhani kama tungeieven fungua thread kudiscuss mambo yake,ukumbuke uchawi huo kaufanya ndani ya bunge ambapo wawakilishi wetu sie wa tz wanago ku discuss mambo ambayo ni kwa manufaa yetu dats why yatubidi tudiscuss as its among our bnez n we shud b concerned abt them...
holllo if ur not chenge mwenyewe,his wife,mwanawe au punga lake kama sio huyo mganga wake (i doubt it if wanatumiaga internet),plz u better sometimes not bisha hata mambo yasiyofaa kubisha maana inafikia stage yakera kupita maelezo ila we hujui tu weye waona raha!!