Kutoka Chato: Rais Magufuli amwapisha Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Kwanini Mbuzi, papai, fenesi na Kware wawe na Corona?

Sasa kuapishana sasa hivi si ni hatari ? Huyu mbunge ametembea sehemu ngapi na amekutana na wangapi na tunajuaje kama jana tu au sekunde nne kutokea sasa hajakutana na mwenye huu ugonjwa ?

Nadhani hatuchukulii hili janga userious unaotakiwa...
Hii point Kali sana, bonge la observation
 
If you only knew....
 

Attachments

  • IMG-20200503-WA0002.jpg
    IMG-20200503-WA0002.jpg
    61.7 KB · Views: 4
Wanabodi
Kwa wale wenye nafasi, ifika saa 4:15 asubuhi hii, tujiunge na TBC kuangalia matangazo ya moja kwa moja ya live mubashara kutokea ikulu ya Chato.

Taarifa hii ni kwa mujibu wa Tweet ya Gerson Msigwa.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 03 Mei, 2020 atamuapisha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria. Tukio hilo litarushwa moja kwa moja na vyombo vya habari kutoka Chato Mkoani Geita, kuanzia saa 4:15 asubuhi. Gerson Msigwa on Twitter

Karibuni mshuhudie
Pia leo ni siku ya kimataifa ya kuadhimisha siku ya uhuru wa habari, huku Tanzania tukiwa kwenye hii vita ya kimataifa ya kupambana na janga la Corona, serikali ya Tanzania ikishutumiwa kuficha idadi ya kweli ya vifo vya Corona, hivyo tufuatilie kwa makini tukimsikiliza rais Magufuli atazungumza nini.
P
Hivi leo ameenda kanisani?
 
Sasa kuapishana sasa hivi si ni hatari ? Huyu mbunge ametembea sehemu ngapi na amekutana na wangapi na tunajuaje kama jana tu au sekunde nne kutokea sasa hajakutana na mwenye huu ugonjwa ?

Nadhani hatuchukulii hili janga userious unaotakiwa...
Sema tu sasa ni kwamba apangalo Mungu ni ngumu mwanadamu kulipangua, atamtafuta sababu tu hadi ulipate, nani anajua huenda ni mpango wa Mungu ifike?
 
Wanabodi wale wenye nafasi
Karibuni mshuhudie

P

===

Mkuu pascall Mayalla, samahani naomba nikirekebishe kidogo kwenye kichwa cha hii habari yako! Rais yuko kwenye mapumziko yasiyo rasmi kijijini kwake Mlimani Chato kutokana na hili janga la Corona, kama sijakosea. Hivyo ile siyo Ikulu Ndogo ya Chato. Kule ni nyumbani kwake alikotokea yeye kama yeye.

Ninachojua kwa hii elimu yangu ya UPE, Ikulu ndogo kwa ajili ya Rais huwa ni yale Makazi rasmi ya Wakuu wa Wilaya na Mikoa nchini kote! Tangu tupate Uhuru, wengi tulishuhudia Rais wa nchi awapo ziarani Mikoani au Wilayani, basi aliweza kufikia na kulala katika makazi hayo.

Ikulu rasmi kwa sasa na kwa mtazamo wangu, ni ile ya Magogoni kule Dsm na ile mpya ya Chamwino Dodoma. Au na mimi nimeenda chaka! 🤔
 
Wanabodi
Kwa wale wenye nafasi, ifika saa 4:15 asubuhi hii, tujiunge na TBC kuangalia matangazo ya moja kwa moja ya live mubashara kutokea ikulu ya Chato.

Taarifa hii ni kwa mujibu wa Tweet ya Gerson Msigwa.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 03 Mei, 2020 atamuapisha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria. Tukio hilo litarushwa moja kwa moja na vyombo vya habari kutoka Chato Mkoani Geita, kuanzia saa 4:15 asubuhi. Gerson Msigwa on Twitter

Karibuni mshuhudie
Pia leo ni siku ya kimataifa ya kuadhimisha siku ya uhuru wa habari, huku Tanzania tukiwa kwenye hii vita ya kimataifa ya kupambana na janga la Corona, serikali ya Tanzania ikishutumiwa kuficha idadi ya kweli ya vifo vya Corona, hivyo tufuatilie kwa makini tukimsikiliza rais Magufuli atazungumza nini.
P
Updates pls,every now and then...
 
Back
Top Bottom