Asha Abdala
JF-Expert Member
- Mar 21, 2007
- 1,130
- 46
Asha hao walikuwa wanachangia as Chadema au Serikali kivuli ya Wapinzani?....
Mimi nashindwa kuelewa kabisa, inakuwa akina Zitto wanaona haya mambo lakini akina CCM hawaoni? Wao wamesoma shule gani hasa?
Asha Conclusion yako haimake sense wakati ushatoa Credits ktk utangulizi wako...kama wanajeshi wanakwenda Vitani, then credits goes for few...nafikiri tutashindwa vita...
Utangulizi wako ni wa Ushabiki unaonesha upungufu wako ktk kufikiri mambo Wide...na Ktk national interest...the bad image ulionayo ktk akili yako kila anae kuchallenge the opposite ni CCM...the same Image wabunge wa CCM ndio walionayo kuwa kule bungeni...wao watapinga anything as long kitatoka upinzani...
Bunge hili lilitunga sheria ambayo ilitoa unafuu usio na lazima kwa makampuni ya madini kwa kiasi cha asilimia 15 unafuua mbao umeifanya Taifa lipoteze shilingi bilioni 883 katika kipindi cha miaka 10 toka sekta ya madini ianze kukua katika Taifa letu.
Mheshimiwa Naibu Spika, tulitegemea kwamba katika finance bill ya mwaka huu Waziri wa Fedha angefuta kabisa sheria hiyo kwa sababu sheria hiyo bado iko kwenye vitabu vyetu vya sheria na inafanya makampuni ya madini ambayo yana mikataba yasiweze kulipa kodi hiyo,...Kwa hiyo unaweza ukaona ni jinsi gani ambayo Taifa linapoteza na mabilioni ya fedha kwa sababu ya sheria ambazo tumezitunga sisi wenyewe na tunao uwezo wa kuweza kuzirekebisha.
Mheshimiwa Naibu Spika, na msamaha huu ungefutwa ungeweza hata kusaidia kupunguza zile kodi ambazo tulizipandisha mwaka jana kupelekea mfumuko wa bei uweze kutokea.
Waziri anaweza kufuta sheria ya Bunge?
Mheshimiwa Zitto, tafadhali naomba unisaidie hapo.
Hansard ya leo bado haijatoka. Ikitoka tu wana JF mtapata nini alisema Cheyo na ni nini alisema Dr. Slaa
Mchango wangu ni wa jana jioni ndio maana hansard yake tumepata
Kuhani Mkuu
Finnance Bill ambayo huwa Act baada ya kupitishwa na sheria inayosimamia utekelezaji wa bajeti.
Alichotegemea zitto hapo ni kuwa katika mjadala wa bajeti wa sasa katika vile vitabu vinne kile cha nne ambacho ni finnance bill kingekuwa na hoja ya serikali ya kufuta hiyo misamaha ili iwe finance act itayaosimamia bajeti ya mwaka huu!
Jumatatu, Juni 16, 2008
Mheshimiwa Naibu Spika, tulitegemea kwamba katika finance bill ya mwaka huu Waziri wa Fedha angefuta kabisa sheria hiyo kwa sababu sheria hiyo bado iko kwenye vitabu vyetu vya sheria na inafanya makampuni ya madini ambayo yana mikataba yasiweze kulipa kodi hiyo, kuna mashauriano ambayo Serikali imefanya na baadhi ya makampuni ya madini lakini kama suala hili hatutalitoa kwenye sheria halitaweza kusaidia na mfano mmoja tu wa madhara ya sheria hiyo ni kwamba kampuni ya Bulyanhulu Gold Mine ambayo inangepaswa kuwa imeanza kulipa kodi ya mapato haitalipa kodi ya mapato kutokana na faida yake mpaka mwaka 2019 yaani haitaanza kulipa corporate tax mpaka mwaka wa mwisho wa Rais wa awamu ya tano na hawa wameanza na Rais wa awamu ya tatu. Kwa hiyo unaweza ukaona ni jinsi gani ambayo Taifa linapoteza na mabilioni ya fedha kwa sababu ya sheria ambazo tumezitunga sisi wenyewe na tunao uwezo wa kuweza kuzirekebisha..
Sunday, 22 July, 2001, 08:36 GMT 09:36 UK
Tanzania's pot of gold
The Bulyanhulu complex has Tanzania's deepest mine
By Roger Dean in Dar es Salaam
A huge new gold mine has been opened in Tanzania, making the country Africa's third largest producer of gold.
Bulyanhulu mine near the northern town of Mwanza, which now employs more than 900 people, is the biggest underground gold mine in the country.
It is owned by the Canadian company Barrick Gold Corporation and, after an investment of $280m, is forecast to produce about 400,000 ounces of gold a year
This will take Tanzania's annual gold output to more than a million ounces, bettered in Africa only by Ghana and South Africa.
Mheshimiwa Naibu Spika, la mwisho kabisa, kama tunataka kuongeza uzalishaji wa kutosha kwenye baadhi ya mazao ambayo tunayo ni lazima tuangalie jinsi gani ya kutoa incentives kwa baadhi ya mazao. Mimi nitatoa mfano mmoja na nilitoa taarifa hii toka mwaka jana kwamba leo India wameweka compulsory usage ya magunia yao ya jute kwa ajili ya mazao yote ya India. Sisi hatujaweka compulsory usage ya maguni yetu ya katani, matokeo yake ni kwamba tunakuwa tuna-export jobs kwenda Bangladeshi na India kwa sababu hatulindi sisal yetu, katani yetu wala hatulindi viwanda matokeo yake ni kwamba baadhi ya wawekezaji wamenunua viwanda havifanyi kazi kwa sababu ya mazingira hayo ya kikodi.
Oops safari zimezidi sasa ndiyo naona ngoma yako Mkuu Zitto .Umenikuna mkishenzi .Kwa nini hao CCM wasije kwako na wapinzani kwa ujumla wakaazima akili zenu hata kwa nusu siku wakatutendea haki na kuwapa akili zenu?
Mkuu zitto heshima yako bro,
Halafu huyo Naibu Spika nae akili fupi sana,hivi hayo maneno yake yanalisaidia vipi taifa?
Kamanda zitto na Dr. Slaa msikate tamaa hata sisi wananchi tupo nanyi.Maneno ya mchango wako yatatumika in future for reference tutakapokua tunatoa hukumu na kiama kwa walioko madarakani sasa.
Kuna hata maprofesa wa uchumi,finance etc huko bungeni lakini empty! Muda wote watu wamekaa bungeni leo hii wanaaibishwa na bwana mdogo kabisa Zitto?
Shame on them!