Kamakabuzi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2007
- 2,904
- 1,363
Asante sana mpita njia kwa post hii.
Kwa Dr. Slaa, kwa mara nyingine tena umeonyesha usivyoogopa kusema ukweli.
Kwa kuwa kuna wasiwasi kuwa hotuba hii haikutolewa live, waTZ wengi watakuwa wameikosa. Ni vyema basi kambi ya upinzani ikaichapisha na kuisambaza. Mimi kwa uwezo wangu mdogo, nitatoa copy mbili niwape wananchi ili wasome kwa kupokezana huko vijijini.
Mwisho nawaasa wabunge wa CCM, suala hili wasilichukue kisiasa ati kwa kuwa limesemwa na mpinzani. Huku nje ya Bunge watu wameamka kwelikweli, mbunge asije kujikuta anaenda jimboni kwake anasulubiwa kwa alivyotetea ufisadi Bungeni.
MUNGU TUBARIKI WATANZANIA NA WASOMI WAACHE WOGA.
Kwa Dr. Slaa, kwa mara nyingine tena umeonyesha usivyoogopa kusema ukweli.
Kwa kuwa kuna wasiwasi kuwa hotuba hii haikutolewa live, waTZ wengi watakuwa wameikosa. Ni vyema basi kambi ya upinzani ikaichapisha na kuisambaza. Mimi kwa uwezo wangu mdogo, nitatoa copy mbili niwape wananchi ili wasome kwa kupokezana huko vijijini.
Mwisho nawaasa wabunge wa CCM, suala hili wasilichukue kisiasa ati kwa kuwa limesemwa na mpinzani. Huku nje ya Bunge watu wameamka kwelikweli, mbunge asije kujikuta anaenda jimboni kwake anasulubiwa kwa alivyotetea ufisadi Bungeni.
MUNGU TUBARIKI WATANZANIA NA WASOMI WAACHE WOGA.