Siku utakapofukuzwa kazi, utashangaa utakapoishi bila hiyo kazi
Sikuutakapoanza kutumia kipaji chako,utashangaa utakapoweza kuishi bila kuitegemea hiyo degree yako
Siku utakapo anza kutumia ubunifu wa taaluma yako, ndipo utakapokuja kugundua kuwa,unaweza kuishi bila hata kutegemea kupandishwa cheyo
Hayo unayodhani huyawezi, ni Kwa sababu tu kuna mahali umejishikiza,
Tumiaeni Elimu zenu kujikomboa, mnatumia elimu kutegemea mishahara? Kutegemea kuajiliwa? Kutegemea vyeo?
Kazi kushinda mitandaoni kupiga kelele zisizo saidia, mtakufa maskini wajinga ninyi!
Na Wana siasa muache kucheza na Nafaka zetu na vilimo vyetu