Shida tunazopata hivi sasa hapa nchini zimesababishwa na mwendazake

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,563
50,415
Mwendazake jiwe aliharibu mitambo ya umeme kwa kuamrisha ifanye kazi bila matengenezo.

Aliharibu biashara na ajira nyingi sana kwa mtindo wake wa kupora maliza za wafanyabiashara na kuwabambikizia kesi.

Aliwatesa sana wakulima kwa kuzuia mazao yao yasiuze nje.

Aliwatesa sana wafanyakazi kwa kuwayima annual increment na nyongeza ya mishahara.

Alianziaha miradi mikubwa mingi isiyoenda na nyakati na isiyo na tija. Mfano;-
1. Ujenzi wa daraja la Busisi urefu km 3 kwenda kwa wakwe zake.
2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma . Enzi za Nyerere kulikuwa na ulazima wa makao makuu kuwa katikati lkn haina maana ktk enzi hizi.
3. Aliwapunguza wafanyakazi wengi sana kwa sababu za kubumba kama vyeti feki, ajira hewa na upuuzi mwingine.
4. Ujenzi wa bawawa la Nyerere. Ktk zama hizi za mabadiliko ya tabia nchi ni ujuha kujenga mabwawa ya umeme. Kwasabb siyo ya kutumainiwa. Tulipaswa kuwekeza kwenye umeme wa upepo na jua.

Mamiradi haya na mengine yanamsumbua rais wa Sasa kuyamalizia ndiyo maana hata tozo imeanziahwa. Kuyapiga chini anaogopa mama wa watu.

Mama anahangaika kuufufu uchumi uliokuwa umeanguka na kuyamalizia haya mamiradi ndiyo maana shida haziishi.

Ila jiwe, Mungu amuongezee adhabu huko aliko.
 
Aliwatesa akiwa hai na atawatesa akiwa kaburini,,,,aliechomoa betri kabeba madhambi yote ya jamaa na maushetani mnayopigia kelele,,,,na uzuri tunajua alitubu huyo mtakatifu wa mbinguni kabisa,,,,,pambaneni na kiungo wenu mchomoa betri kabeba madhambi yote ya jamaa ahsanteni kwa kazi nzuri ya kutupatia mtakatifu
 
MWENDAZAKE Mwinyi, hakufanya mambo hayo, acha uzushi.
Kwanza usimkosee adabu mzee Mwinyi. Mzee Mwinyi anaitwa Hayati.

Kwa taarifa yako watu waliofariki wako ktk makundi matatu.
1. Hayati....hawa ni watu wema walio maarufu.
2. Marehemu. Ni watu wa kawaida wanaozikwa kwa ubwabwa wa kupikwa na majirani.
3. Mwendazake. Ni mtu dhalili ama asiye na sifa nzuri kwa jamii kama ilivyo kwa jiwe.

Jiwe anaitwa mwendazake siyo kwa kuwa tu amefariki, bali ni kwasabb alikuwa hapendwi na jamii kwa matendo yake maovu
 
Kwanza usimkosee adabu mzee Mwinyi. Mzee Mwinyi anaitwa Hayati.

Kwa taarifa yako watu waliofariki wako ktk makundi matatu.
1. Hayati....hawa ni watu wema walio maarufu.
2. Marehemu. Ni watu wa kawaida wanaozikwa kwa ubwabwa wa kupikwa na majirani.
3. Mwendazake. Ni mtu dhalili ama asiye na sifa nzuri kwa jamii kama ilivyo kwa jiwe.

Jiwe anaitwa mwendazake siyo kwa kuwa tu amefariki, bali ni kwasabb alikuwa hapendwi na jamii kwa matendo yake maovu
Wee wa kupuuzwa!
 
Hata Nyerere, Mkapa, mwinyi na Jk hawakuwafurahisha watu wote lakini mbona hawakuitwa MADIKTETA?!! Jiwe alikuwa mshamba tu!!
Magufuli atakusumbua sana maisha yako yote usipoelewa kuwa yeye alishamaliza muda wake. Unachoita "ushamba" ndio huo huo unaokusumbua akili yako na kukufanya uhangaike kutafuta wa kualumu kwa matatizo yako ya leo.
 
Mwendazake jiwe aliharibu mitambo ya umeme kwa kuamrisha ifanye kazi bila matengenezo.

Aliharibu biashara na ajira nyingi sana kwa mtindo wake wa kupora maliza za wafanyabiashara na kuwabambikizia kesi.

Aliwatesa sana wakulima kwa kuzuia mazao yao yasiuze nje.

Aliwatesa sana wafanyakazi kwa kuwayima annual increment na nyongeza ya mishahara.

Alianziaha miradi mikubwa mingi isiyoenda na nyakati na isiyo na tija. Mfano;-
1. Ujenzi wa daraja la Busisi urefu km 3 kwenda kwa wakwe zake.
2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma . Enzi za Nyerere kulikuwa na ulazima wa makao makuu kuwa katikati lkn haina maana ktk enzi hizi.
3. Aliwapunguza wafanyakazi wengi sana kwa sababu za kubumba kama vyeti feki, ajira hewa na upuuzi mwingine.
4. Ujenzi wa bawawa la Nyerere. Ktk zama hizi za mabadiliko ya tabia nchi ni ujuha kujenga mabwawa ya umeme. Kwasabb siyo ya kutumainiwa. Tulipaswa kuwekeza kwenye umeme wa upepo na jua.

Mamiradi haya na mengine yanamsumbua rais wa Sasa kuyamalizia ndiyo maana hata tozo imeanziahwa. Kuyapiga chini anaogopa mama wa watu.

Mama anahangaika kuufufu uchumi uliokuwa umeanguka na kuyamalizia haya mamiradi ndiyo maana shida haziishi.

Ila jiwe, Mungu amuongezee adhabu huko aliko.
Wahi hospitali ya wagonjwa wa akili iliyo karibu yako kaonane na daktari kabla hali haijawa mbaya zaidi.
 
Umeandika kwa hisia sana kiongozi hebu tuweke sawa.Unaposema aliharibu biashara unaweza weka baadhi ya hizo biashara au wafanyabiashara waliopata shida hiyo hili tupate kujua vizuri.

Magufuri(R.I.P) alikuwa na mapungufu yake ambayo nadhani kila binadamu anayo ni vile tu mimi na wewe hatujapata fursa ya kufahamika katika jamii ila ukweli ni kwamba kipindi cha utawala wake alijaribu kufanya vitu unaweza kusema havikuwa na umuhimu au vilikuwa nao lakini mimi na wewe hili ni jambo hatuwezi kuwa na jibu ni mda tu unaweza kusema

Huyu wa sasa niamini kama kuna kitu anafanya vizuri basi ni kusafiri na kutojali chochote kuhusu raia na taifa kwa ujumla
 
Umeandika kwa hisia sana kiongozi hebu tuweke sawa.Unaposema aliharibu biashara unaweza weka baadhi ya hizo biashara au wafanyabiashara waliopata shida hiyo hili tupate kujua vizuri.
Wenye maduka ya kubadilishia fedha za kigeni kote nchini waliporwa fedha zao saa 6.20 mchana na kikosi maalumu cha JWTZ kilichotumwa na jiwe. Mama wa watu kalazimika kuwarudishia fedha zao. Mjinga Sanaa yule jamaa.

Kulikuwa na haja gani ya kufanya hivo??
 
Mwendazake jiwe aliharibu mitambo ya umeme kwa kuamrisha ifanye kazi bila matengenezo.

Aliharibu biashara na ajira nyingi sana kwa mtindo wake wa kupora maliza za wafanyabiashara na kuwabambikizia kesi.

Aliwatesa sana wakulima kwa kuzuia mazao yao yasiuze nje.

Aliwatesa sana wafanyakazi kwa kuwayima annual increment na nyongeza ya mishahara.

Alianziaha miradi mikubwa mingi isiyoenda na nyakati na isiyo na tija. Mfano;-
1. Ujenzi wa daraja la Busisi urefu km 3 kwenda kwa wakwe zake.
2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma . Enzi za Nyerere kulikuwa na ulazima wa makao makuu kuwa katikati lkn haina maana ktk enzi hizi.
3. Aliwapunguza wafanyakazi wengi sana kwa sababu za kubumba kama vyeti feki, ajira hewa na upuuzi mwingine.
4. Ujenzi wa bawawa la Nyerere. Ktk zama hizi za mabadiliko ya tabia nchi ni ujuha kujenga mabwawa ya umeme. Kwasabb siyo ya kutumainiwa. Tulipaswa kuwekeza kwenye umeme wa upepo na jua.

Mamiradi haya na mengine yanamsumbua rais wa Sasa kuyamalizia ndiyo maana hata tozo imeanziahwa. Kuyapiga chini anaogopa mama wa watu.

Mama anahangaika kuufufu uchumi uliokuwa umeanguka na kuyamalizia haya mamiradi ndiyo maana shida haziishi.

Ila jiwe, Mungu amuongezee adhabu huko aliko.
Bora ya Magu alifanya vitu vinaonekana kuliko wakati ule na sasa. Hatujui hata hela zinafanya nini. Sijui wanazificha huko pánámá? Au uswizi?
 
1. Hayati....hawa ni watu wema walio maarufu.
2. Marehemu. Ni watu wa kawaida wanaozikwa kwa ubwabwa wa kupikwa na majirani.
3. Mwendazake. Ni mtu dhalili ama asiye na sifa nzuri kwa jamii kama ilivyo kwa jiwe.
Kufa ni kufa hata ukiitwa majina mazuri ni umekufa, bc ww mtoa mada ni Dear Marehemu

Anyway, mimba mliyopewa na JPM akiwa hai hamtojifungua ht kipindi hiki akiwa mfu, bahati mbaya mimba yenyewe mliachiwa ikiwa na miezi tisa hvy mnaumwa uchungu mwaka wa tatu huu.
 
Mwendazake jiwe aliharibu mitambo ya umeme kwa kuamrisha ifanye kazi bila matengenezo.

Aliharibu biashara na ajira nyingi sana kwa mtindo wake wa kupora maliza za wafanyabiashara na kuwabambikizia kesi.

Aliwatesa sana wakulima kwa kuzuia mazao yao yasiuze nje.

Aliwatesa sana wafanyakazi kwa kuwayima annual increment na nyongeza ya mishahara.

Alianziaha miradi mikubwa mingi isiyoenda na nyakati na isiyo na tija. Mfano;-
1. Ujenzi wa daraja la Busisi urefu km 3 kwenda kwa wakwe zake.
2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma . Enzi za Nyerere kulikuwa na ulazima wa makao makuu kuwa katikati lkn haina maana ktk enzi hizi.
3. Aliwapunguza wafanyakazi wengi sana kwa sababu za kubumba kama vyeti feki, ajira hewa na upuuzi mwingine.
4. Ujenzi wa bawawa la Nyerere. Ktk zama hizi za mabadiliko ya tabia nchi ni ujuha kujenga mabwawa ya umeme. Kwasabb siyo ya kutumainiwa. Tulipaswa kuwekeza kwenye umeme wa upepo na jua.

Mamiradi haya na mengine yanamsumbua rais wa Sasa kuyamalizia ndiyo maana hata tozo imeanziahwa. Kuyapiga chini anaogopa mama wa watu.

Mama anahangaika kuufufu uchumi uliokuwa umeanguka na kuyamalizia haya mamiradi ndiyo maana shida haziishi.

Ila jiwe, Mungu amuongezee adhabu huko aliko.
Lichomwe zaidi huko liliko shetani kubwa lile
 
Back
Top Bottom