Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,311
- 4,018
Tumekuwa tukihimizwa na kurithishwa utamaduni wa kupatia mgao wa urithi, ardhi, mtaji au uongozi wa shughuli zetu za kiuchumi kwa vijana wa kiume.
Imani iliopo ni kuwa binti yeye akishaolewa anakuwa wa taifa lingine na sio wa taifa lako tena ingawa bado anabaki kuwa damu na mtoto wako mpendwa na mwanafamilia wa thamani.
Vp wewe kijana wa hii generation mpya, utaendeleza utamaduni huu au mtoto wako wa kike utamgawia sawia kama vile utavyofanya kwa mtoto wako wa kiume?
Imani iliopo ni kuwa binti yeye akishaolewa anakuwa wa taifa lingine na sio wa taifa lako tena ingawa bado anabaki kuwa damu na mtoto wako mpendwa na mwanafamilia wa thamani.
Vp wewe kijana wa hii generation mpya, utaendeleza utamaduni huu au mtoto wako wa kike utamgawia sawia kama vile utavyofanya kwa mtoto wako wa kiume?