mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 473
- 1,448
Nina mdogo wangu nataka kumsaidia asome ufundi, lakini nikimtazama umbile lake, urembo wake nashindwa kumtaftia nini cha kusoma.
Angekuwa wa kiume ningempeleka VETA Shiyanga asome iether machine oparators au heavy duty machenics. Sitaki asome sijui kupamba ukumbi,ususi, ushonaji nguo, nataka course ambazo atleast zina sound.
NB: wawezeshe watoto wa kike ili badae wasijiuze kama njia ya kujikomboa na maisha.
Angekuwa wa kiume ningempeleka VETA Shiyanga asome iether machine oparators au heavy duty machenics. Sitaki asome sijui kupamba ukumbi,ususi, ushonaji nguo, nataka course ambazo atleast zina sound.
NB: wawezeshe watoto wa kike ili badae wasijiuze kama njia ya kujikomboa na maisha.