Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,326
- 5,266
naongezea
chukua majani mabichi ya mwarobani yaanike kivulini au kibarazani (yasikauke kwa jua) then uje uyatwange then chanyanya kwenye chakula chao ..majani hayo yana antibaotic nyingi.
nyingine ni majani ya mti wa mlingalinga yafanye kama ulivyofanya mwarobaini ,hayo yana vitamin nyingi sana kuzidi ya kwenye aminototal
chukua majani mabichi ya mwarobani yaanike kivulini au kibarazani (yasikauke kwa jua) then uje uyatwange then chanyanya kwenye chakula chao ..majani hayo yana antibaotic nyingi.
nyingine ni majani ya mti wa mlingalinga yafanye kama ulivyofanya mwarobaini ,hayo yana vitamin nyingi sana kuzidi ya kwenye aminototal