LadyAJ
JF-Expert Member
- Oct 21, 2015
- 7,173
- 9,631
Ndio maana nimeomba msaada kwa waliowahi ku experience tatizo kama langu mlifanyaje kujikwamua? Nipe msaada maana niliyemkuta alihusisha tatizo langu na vijidudu vinavyoshambulia Kuku ndio maana akanipa na hayo ma powder n.k, hebu nisaidie ndugu yangu plzNapata mashaka kuamini hizo dawa ulishauriwa ulipoenda veterinari. Labda kama si veterinari nayoijua mie. Piperazine inatibu minyoo na hizo nyingine mbili zinaua vidusia (parasites) wa nje. Tatizo la kuku wako si mojawapo kati ya hayo.