Wazo Langu
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 1,381
- 842
Aisee, kumbe tunapitwa na wengine! 7? Mhh ebu unge m guote huu mstari huyu mama
Ngoja niutumie maana ni neno LA uzima.
Quote ipi tena zaidi?
Aisee, kumbe tunapitwa na wengine! 7? Mhh ebu unge m guote huu mstari huyu mama
Ngoja niutumie maana ni neno LA uzima.
Nakubaliana na wewe ndio mana nikashangaa hakuangalia upande wa pili ambapo ndio kuna tatizo.Wanaweza kuwa wakosaji wote lkn mwanamke kakosea zaidi. Angeongea na mr wake wayamalize sio kupambana na mchepuko. Atagombana na wangapi km tabia ya mume ndo hiyo? Angeng'oa shina sio kukata matawi.
so unataka tuwe upande wa mlalamikaji, hutupati.Watakao pingana na mada hii ndio wanajihushisha na waume za watu ,
Si tunawabaka tu.Hivi kweli sisi wanaume tukiamua kuwa wachoyo itakuaje?? Si unaona kuwa wanawake wote watakosa wanaume?? Wahurumie wenzio, dont take it too serious
Daaaaaah unahasira kweli....Wewe mwanamke unayetembea na mume wa mtu ni mjinga sana, hivi wewe mwenzako katambulishwa wewe hujulikani zaidi ya guest acha ujinga unapotezewa muda ni sawa unasubiri basi la kwenda Zanzibar, nyie mnarudisha maendeleo nyuma wajinga sana, mnaleta migogoro katika familia wajinga sana, mnakumbatia bomu tumboni ondoka haraka katafute single mwenzako.

Eeh mwaya! Kibaya mrushie paka akahangaike nacho mbele.Lakini si ungesema tu na huyo beibe?maana hivyo vya sijui kutambulishana na wewe ulianzia huko huko.jiangalie kibasi kimejaa hicho mummy!nani anataka kusimama mpaka mwanza???kizuri kula na mwenzio ebo.....nawewe njoo utembee na mimi ufidie hasira zako......

Ha ha ha , unataka uwe peke yako? We Mungu auu,
Huyo Mungu mwenyewe watu wamemuundia miungu wengine....
we umeuaaNIKWELI KABISA WANAUME NI WACHACHE SANA. WALIOBAKI NI LOSERS, MATEJA, MAJAMBAZI, WAVIZIA KULELEWA, WASIO NA MBELE WALA NYUMBA. Yaani wanaume ni wachache sana kubahatika kuwa nao wenye professionals zao, watu wa principles e. t. cWanawake ni wengi kuliko wanaume na wanataka wazoefu sio wanaojifunza,hahahahahahahhahahaha kizuri kula na mwenzako. Usimlaum mwizi wakati mwingine anayeibwa hujipeleka mwenyewe kwa mwizi tena kwakupiga magoti.
Usifanye ivo tafadhali dawa tutaumizanaNjoo pm nikupe dawa umkomeshe