Kutembea na mume wa mtu

Kutembea na mume wa mtu

Hahaha wajinga sana wanarubuniwa na vijisent na vijisimu wanatoa nyabe na mwisho wa cku unaachwa unarud hap jf k ulia
Wewe labda hao watoto wa secondary ila tu mdada anaejielewa harubuniwi kwa cm wanafanya vtu vya maana tena ambavyo hata mkewe afanyiwi kabisa na ukijua utazimia
 
Wanawake wengi ujinga mwingiii hawaju kuhudumiwa waume zao kama unahudumia vzur nje atatoka? Kwanza ukitambulishwa unaongezeka nini kama cc tupo tunafanya maisha tena ya maendeleo ukute hata ww unaishi nyumba ya kupanga wenzio tunajenga tena kwa jina langu sasa apo nililie kutambulishwa ili iweje.mume anataka matunzo bwana
 
Wewe labda hao watoto wa secondary ila tu mdada anaejielewa harubuniwi kwa cm wanafanya vtu vya maana tena ambavyo hata mkewe afanyiwi kabisa na ukijua utazimia
Wanawake kwani mnaakiri? Akiri zenu mnazijua wenyewe tu
 
Mwizi wake ni mimi ilikuwaje mpaka aje kwangu akiwa anajua ameoa jiulize kuna kitu amemiss kwako .Eti napotezewa muda wapi nachukua changu mapema halafu napita hivi mjini hakuna chako peke yako siku hizi jamani .Mpooooo?
 
hata wafalme na daadh ya mitume walishindwa...

ila dada, kwani kutambulishwa ndio kuolewa?
 
Ukisoma komenti za huu uzi, utagundua asilimia 99 kwa jinsi walivyo komenti ni WACHEPUKAJI!
 
Wewe mwanamke unayetembea na mume wa mtu ni mjinga sana, hivi wewe mwenzako katambulishwa wewe hujulikani zaidi ya guest acha ujinga unapotezewa muda ni sawa unasubiri basi la kwenda Zanzibar, nyie mnarudisha maendeleo nyuma wajinga sana, mnaleta migogoro katika familia wajinga sana, mnakumbatia bomu tumboni ondoka haraka katafute single mwenzako.
Asanteeeeeeeeeeeee......namuachaaaaaa
 
Wewe mwanamke unayetembea na mume wa mtu ni mjinga sana, hivi wewe mwenzako katambulishwa wewe hujulikani zaidi ya guest acha ujinga unapotezewa muda ni sawa unasubiri basi la kwenda Zanzibar, nyie mnarudisha maendeleo nyuma wajinga sana, mnaleta migogoro katika familia wajinga sana, mnakumbatia bomu tumboni ondoka haraka katafute single mwenzako.
Ongea na huyo mume anayetoka nje ya ndoa yake. Wanawake wengi wanaotoka na waume za watu hawajali hayo maadili. Ujumbe umefika lakini.
 
Wewe mwanamke unayetembea na mume wa mtu ni mjinga sana, hivi wewe mwenzako katambulishwa wewe hujulikani zaidi ya guest acha ujinga unapotezewa muda ni sawa unasubiri basi la kwenda Zanzibar, nyie mnarudisha maendeleo nyuma wajinga sana, mnaleta migogoro katika familia wajinga sana, mnakumbatia bomu tumboni ondoka haraka katafute single mwenzako.
Hahaa haichekeshi lakini nimejikuta nacheka. Pole sana mkuu...ila sio mjinga anajua anachokifuata kwa mumeo
 
aaahhh kuna mtu kaibiwa? asanteeehhhh thomaaaaaasssss mdogo! mdogo! ... mwenyewe naimba nyimbo ya mondi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom