Yanayojiri kutoka kwenye mkutano Mkutano wa waandishi wa habari ulioandaliwa na wanafamilia na producer wa Roma_Mkatoliki unakaribia kuanza na camera zetu zipo hapo.
View attachment 492358
Mkutano wa waandishi wa habari ulioandaliwa na wasanii, producer na wanafamilia wa Roma_Mkatoliki umeshaanza. Waandishi wako kwa wingi sana.
Baadhi ya wasanii wa Bongo fleva waliohudhuria kuzungumza na waandishi wa habar juu ya ufumbuzi wa msanii Mwenzao [HASHTAG]#Roma[/HASHTAG]
[HASHTAG]#FreeRoma[/HASHTAG] [HASHTAG]#FreeMoni[/HASHTAG] View attachment 492362
Nitaanza kuweka updates live kuna jambo naweka sawa.
Mke wa Roma mkatoliki akishindwa kujizuia kulia mbele ya waandishi akitaka msaada wa kutafutwa.
Mke wa Msanii Roma Mkatoliki anashindwa kuongea analia anaiomba serikali kumtafuta mume wake na baba wa familia Roma Mkatoliki.
Anayezungumza muda huu msanii Mrisho Mpoto akiomba msaada wa kutafutwa msanii Roma Mkatoliki.
- Fid Q amewataka Watanzania kuacha kuhusisha tukio la kukamatwa kwa ROMA na mambo ya kiasiasa na wasubiri hadi pale ukweli utakapojulika.
Sasa ulitaka wanye pale auHao wasanii walivyokaa utadhani kuna msaada wowote watatoa
Nilikua nimeshapiga lager kadhaa nikaona sipo fit kwa pambano
Demokrasia na uhuru wa kweli kwenye hii nchi ulishaisha, kuna kikund fulan cha watu wachache ndo kipo juu ya sheriaBen saanane kapotea tupo kimya, Roma nae watu hawapazi sauti..ipo siku tutaongea lugha moja.
Intelijensia Ya Polisi iko Imara Kuzuia Mikutano Ya CHADEMA Lakini haiwezi kuzuia Utekwaji wa Watu unaotokea Kila Siku !!
Police ya Leo si kwaajili ya wananchi bali kwaajili ya ccm kama walimtishia nape bastola na hakuna hatua zilizochukuliwa utasema tunapolice.Intelijensia Ya Polisi iko Imara Kuzuia Mikutano Ya CHADEMA Lakini haiwezi kuzuia Utekwaji wa Watu unaotokea Kila Siku !!
Huu sasa ni uchochezi wa kidini hebu jadili mada husikaIbrahim Musa,,, anahusika vp na kanisa?