kutana na Samsung galaxy s5

kutana na Samsung galaxy s5

Sio kumuiga,OEM yoyote lazima nae anatafuta ubora wa flagship yake suala linakuja nani anatangulia kutumia technolojia ya kisasa zaidi.
Sony waliwahi tu,lkn bila shaka angechelewa tu Samsung angewahi.

Ni kuiga sasa huko. Samsung ni wataalam wa kuiga. Form factors zao ni za iPhone. Hawana jipya kwa sasa sababu Steve jobs amefariki na Apple pia wameishiwa design. Wakorea hawana pa kuiga na matokeo yake wametoa S3 tena na kiiita S5
 
Chip ya Snapdragon S800 tayari old chip. Xperia Z2 imekuja na S801 ambayo ndio mpya sasa.

Mwaka jana ni kinyume cha mwaka huu (Xperia vs Galaxy). Sony walitoa Xperia Z ikiwa na Chip ya Snapdragon 600 hafu ambayo kwa kipindi iko ilikua imepitwa na wakati na si vema kuiweka kwenye flagship. Samsung akawainua wapinzani kwa kuweka S800 kwenye Galaxy S4 yake. Mwaka huu hali imekua kinyume. Sijui kama S5 itafanya vema dukani.



Cc: chief-mkwawa

ila kaka snapdragon 801 inatumia gpu ile ile ya 800 yaani adreno 330 sio upgrade ya maana. chip mpya inayosubiriwa kwa hamu ni snapdragon 805 yenye adreno 4xx.

itatoka version ya 805. na kuhusu kuuza watauza samsung sana tu unless mtu atoe simu ya kubrainwash watu
 
Samsung wamekosea saa kutoleta innovation kwenye Flagship yao. Utaona sasa wapinzani especially Apple na Nokia watavofanya kwenye flagships zao za 2014.

Hawa washaridhika na mafanikio. Wasiwaige Apple. Apple ata wasipoleta innovation, wakaitoa iPhone 5s ileile wakasema ni iPhone 6, kuna die hard fans wao lazima watanunua tu.

Hahahah.....mkuu apo umeua!!
 
guys mmeona sandisk wamekuja na sd card ya 128Gb ambayo inaweza kuingia kwenye s5

vs02-24_1418m_2_large_verge_medium_landscape.jpg
 
Ushabiki upo , kuwa die hard fun tunakubali , but ukweli ni ukweli , na ukweli ni kwamba s5 is not surprising (haina invention za maana kwa maana ya kutoka s4 na kwenda s5 , , mfano mzuri ilipotoka s4 issue kubwa ilikuwa ni air gestures na kila advert ya samsung waliionesha , ilivotoka lumia 920 issue ilikuwa wireless charging n.k .. Sa hivi wanachofanya ni kuhadaa customers (creating demands /wants ) but in reality s5 haileti issue ya muhimu saaana kivile ( does not make any difference )

Kwa wenzetu (us and the like ) haitaharibu budget sana coz wao wananunua kwa contract so mtu anaweza kuwa na flagship zote na akawa anazilipia mdogo mdogo ,


My take : naona kama technology inakosa creativity ya mtu kama steve jobs (RIP) , hapa nakumbuka kwenye introduction ya iphone ya kwanza 2007 steve alisema iphone ilikuwa product iliyokuwa determined kukaa sokoni kwa miaka mitano (na ndo kilichotokea ) ,, hawa kina samsung wanatoa leo na kesho so i dont think if they get enough time to create something new rather wanakuwa driven na market . .

Competitors; nokia wameeita samsunga s5 kuwa ni SAMESUNG (ile ile ) kwenye tweet yao ..... Sasa nawangojea na wao kama watatoa flagship ambayo itakwepa hiyo SAMESUNG Joke . ,


"From tz with true luv"
 
series tatu za hd gb90
game kama san andre 10 gb 30
apps gn 4
audio gb 2

free gb 2

Na laptop itakua na kazi gani kama hizi vitu naweka kwenye SD Card ya Simu yenye kioo cha 5.1"??? Labda kwenye Tablet like Dell Venue 8 Pro italetaashiko ila kwa simu its way more than Over kill
 
waliisifia sana s4 nikajichanganya. I really miss my iphone... Android bado ni cha mtoto sana kwa ios
hi Tuko miss u brother !
Kitu kinanifanya nichukie hizi smart phone ni kimoja tu kuweka betri zake ni 0 kabisa a phone ambayo inanifanya mtumwa mimi wakutembea na machaja i realy dont like at all! Nilikuwa na tab yangu nikawa mtumwa nikaiacha home,nikanunua xperia z imenchosha lazima nitembee na visimu viwili eti hii ikizima lol.nikaiacha sasa nimerudi kwenye kale kanokia kangu x2 sijibebeshi mizigo tena nimechoka,simu ambayo haina internal memory 32gban above hapana nunua hii flash kabisa
 
hi Tuko miss u brother !
Kitu kinanifanya nichukie hizi smart phone ni kimoja tu kuweka betri zake ni 0 kabisa a phone ambayo inanifanya mtumwa mimi wakutembea na machaja i realy dont like at all! Nilikuwa na tab yangu nikawa mtumwa nikaiacha home,nikanunua xperia z imenchosha lazima nitembee na visimu viwili eti hii ikizima lol.nikaiacha sasa nimerudi kwenye kale kanokia kangu x2 sijibebeshi mizigo tena nimechoka,simu ambayo haina internal memory 32gban above hapana nunua hii flash kabisa

Nimekumiss pia my sister. Smartphone ni kweli ni vmeo kwenye chaj. But kumbuka smartphone ni zaidi ya simu. Ni simu, ni diary, ni bibilia, ni video player, unasoma papers, unajibu emails, unesend na kupokea video, unasoma novels nk nk bila kusahau unakuwa ver active huku jf... mtu akikutag au kukuquote unajua hapo hapo... ni kama comp na sidhani kama kuna comp inakaa na chaj zaid ya 12hrs. Kwaiyo kubali tu unatumia mchana usiku inakuwa kwenye chaj.
Bila shaka engineers wanalufanyia kaz suala la chaj...
 
Na laptop itakua na kazi gani kama hizi vitu naweka kwenye SD Card ya Simu yenye kioo cha 5.1"??? Labda kwenye Tablet like Dell Venue 8 Pro italetaashiko ila kwa simu its way more than Over kill

jamaa wametengeneza iyo kitu kutarget tablet na simu ili upate experience ya storage almost the same na ukiwa na mashine.
 
Back
Top Bottom