Nina mkosi na Samsung devices, Simu haiingizi chaji tatizo nini?

Da'Vinci

JF-Expert Member
Dec 1, 2016
35,681
106,794
Salute..
Sijui ni mkosi au nachukua bidhaa mbovu ila Kampuni ya Sumsung inanitesa sana. Mwanzo nilikua natumia Samsung S4 ikawa inachemka sana hadi vidole vinapata shoti, chaji ikijaa ndani ya saa moja au 2 imeishaaa. Nikaitumia about 2yrs nikaipoteza.

Sasa nimepata nyingine bado mpya hasa lakini nikiweka chaji haiingizi moto haraka ndani ya nusu saa inaingiza 4% nishabidirisha chaji 3 ila wapii. Ni Samsung Grand Prime+ 2017 toleo.

Tatizo itakua nini?Nifanyeje?
Cc
Chief-Mkwawa na wadau wote
 
pole.
[HASHTAG]#kataautumwawakufangamanishwanachaja[/HASHTAG] hamia kwingine
 
Salute..
Sijui ni mkosi au nachukua bidhaa mbovu ila Kampuni ya Sumsung inanitesa sana. Mwanzo nilikua natumia Samsung S4 ikawa inachemka sana hadi vidole vinapata shoti, chaji ikijaa ndani ya saa moja au 2 imeishaaa. Nikaitumia about 2yrs nikaipoteza.

Sasa nimepata nyingine bado mpya hasa lakini nikiweka chaji haiingizi moto haraka ndani ya nusu saa inaingiza 4% nishabidirisha chaji 3 ila wapii. Ni Samsung Grand Prime+ 2017 toleo.

Tatizo itakua nini?Nifanyeje?
Cc
Chief-Mkwawa na wadau wote
Simu ulizinunuwa wapi? Una uhakika ni sumsung za kweli na siyo fake? Nachojua simu mpya zinakuwa na muda ambao ikileta hitilafu inayotoka kwa watengengenezaji unapewa nyingine au unarudishiwa fedha! Za kwako hazina? Kwa hisia zangu kuna uwezekano mkubwa unauziwa fake za mchina. Kama uko Bongo unatakiwa ujihadhari sana kwenye ununuzi wa simu!
 
Simu ulizinunuwa wapi? Una uhakika ni sumsung za kweli na siyo fake? Nachojua simu mpya zinakuwa na muda ambao ikileta hitilafu inayotoka kwa watengengenezaji unapewa nyingine au unarudishiwa fedha! Za kwako hazina? Kwa hisia zangu kuna uwezekano mkubwa unauziwa fake za mchina. Kama uko Bongo unatakiwa ujihadhari sana kwenye ununuzi wa simu!
Nipo bongo ya mkoani mkuu.
Nahisi hv namm naweza kua nimepigwa...
Nilitibu vipi hili tstizo?
 
Pole chief, ile haya matoleo mapya ya samsung ni hovyo sana....ss sijui ni wenyewe au kuna wahuni wanatengeneza,

inawezekana hizo ni trial versions.
 
Nipo bongo ya mkoani mkuu.
Nahisi hv namm naweza kua nimepigwa...
Nilitibu vipi hili tstizo?
Bila kukupesa macho basi nisema kwa uhakika kabisa unauziwa simu feki ambazo siyo sumsung! Bei zake ziko chini kwa sababu ya hitilafu kama hizo. Dawa ni kununua simu kutoka kwa wakala wa samsung anayeaminika na kukupa guarantee
 
Samsung ni shida kidogo nina tablet yao inaweka giza kwenye screen black out, lkn ndani iko on. Wazimu ukiisha inajifungua.. ni ugonjwa gani. Bado kidogo utaalamu wao. Ni made in Vietnam
 
Bila kukupesa macho basi nisema kwa uhakika kabisa unauziwa simu feki ambazo siyo sumsung! Bei zake ziko chini kwa sababu ya hitilafu kama hizo. Dawa ni kununua simu kutoka kwa wakala wa samsung anayeaminika na kukupa guarantee
Actually nimeitoa kwa wakala wa samsung ndio
 
Samsung ni shida kidogo nina tablet yao inaweka giza kwenye screen black out, lkn ndani iko on. Wazimu ukiisha inajifungua.. ni ugonjwa gani. Bado kidogo utaalamu wao. Ni made in Vietnam
Nataman kujaribu radha ya Tecno sema hazina mvuto
 
Rudisha akupe nyingine. Kama simu ilikuwa mpya na wewe hujaichokonoa au kuiharibu unastahili nyingine. Lakini uwe na uhakika ni wakala anayetambulika na siyo hawa ma-fix wa mtaani tu.
Nitawafuata niwaambie maana bado nzimaaaa kabisa
 
Salute..
Sijui ni mkosi au nachukua bidhaa mbovu ila Kampuni ya Sumsung inanitesa sana. Mwanzo nilikua natumia Samsung S4 ikawa inachemka sana hadi vidole vinapata shoti, chaji ikijaa ndani ya saa moja au 2 imeishaaa. Nikaitumia about 2yrs nikaipoteza.

Sasa nimepata nyingine bado mpya hasa lakini nikiweka chaji haiingizi moto haraka ndani ya nusu saa inaingiza 4% nishabidirisha chaji 3 ila wapii. Ni Samsung Grand Prime+ 2017 toleo.

Tatizo itakua nini?Nifanyeje?
Cc
Chief-Mkwawa na wadau wote
tafuta charger inaitwa oraimo 2.0A
huwa haishindwi hii
 
Nataman kujaribu radha ya Tecno sema hazina mvuto
Kama bado ipo ndani ya waranti warudishie isikuumize kichwa.

Kama tecno unaziona hazina ishu chukua huawei P9, P10, Y2 pro vyote vifaa hivyo
 
Kama bado ipo ndani ya waranti warudishie isikuumize kichwa.

Kama tecno unaziona hazina ishu chukua huawei P9, P10, Y2 pro vyote vifaa hivyo
Yap ipo ndani ya walant mkuu nimeichukua siku kumi zilizopita..
Nafikiri kufanya hivyo. Ila sijui shida ni chaja nazotumia au.
 
Yap ipo ndani ya walant mkuu nimeichukua siku kumi zilizopita..
Nafikiri kufanya hivyo. Ila sijui shida ni chaja nazotumia au.
Si ulinunua na charger yake? Kamwe usichaji na hizi charger za wamachinga za bei rahisi. Kuna nyingine zinaharibu simu. Ila mimi sioni ni kwanini uhangaishe kichwa kuitengeneza kwa gharama wakati ni haki yako kupewa nyingine kama hiyo ni mbovu!
 
Back
Top Bottom