kutana na Samsung galaxy s5

kutana na Samsung galaxy s5

Kuna kitu kinaitwa MAHABA; Hata kama kitu kikiwa kizuri au kibaya namna gani ukiwa na mahaba au kutokuwa na mahaba nacho then lazima utakipepelea au kukiponda tu. Then kuna kitu kinaitwa ushabiki, ukiwa shabiki wa Iphone, Sony au Samsung then hata kama unaona kabisa Nokia kakuzidi hutakubali hata ukiwekewa kisu shingoni. Mi naamini hivi, anything no matter how small it is kimeongezwa au kitaongezwa kwenye any new flagship coming I will call it new. Umasikini wetu usitufanye tuwe wachambuzi wazuri saaana hivi kwasababu I believe wenye uwezo wa kuwa nazo wala hata huwa hawaangalii ina nini ila ni kipi kipya
Kwani na ww upo huku??
 
Yaani kinacho tawala fikra na akili za watu ni ulimbukeni.... Na kukosa utimamu..... damn
.
Utakuta mtu ana lalamika samsung kuleta S5 kisa S4 haijakaa sana.... Damn
.
Yaani hizi zote ni fikra duni za WAUZA SURA mtu ana nunua kitu ili nae aonekane kwenye ramani na kupata vi sifa sifa kwa VI BI or VI KA
utakuta bwana mdogo akiipata S5 anaanza kumuona bwe.ge mwenye S4/S3 damn
.
Kampuni ziache tu zifanye yao wanatafuta pesa.... Damn
.
Nokia mwache aende android anatafuta pesa ...damn
.
Iphone mwache aje na Iphone 7 mwakani ana tafuta pesa.... Damn
.
Utaona kijana ana hangaika yaani atataka hata kuwa na clone ya S5 ili mladi tu VI BI na VI KA vimuone kama nae yupo kumbe hana utimamu...... Damn
.
Yaani anataka aende nao sambamba wakitoa hii nae anunue wakitoa hii awe nayo kumbe ni ulimbukeni tu wa maisha..... Damn
.
Hongera sana Samsung kwa series zao nzuri S5-S6-S7-S8
hongera sana apple kwa series zenu nzuri Iphone 5- iphone 6- iphone-7
na muendelee hivi hiv na wengineo wengi damn
.
.
.
 
sijawahi kuelewa kwanini watu wanapenda samsung.
Hakuna simu zina lag kama samsung.

ku lag nikufanyaje? (please asinijibu mtu mwingine. anijibu OTIS )
 
Last edited by a moderator:
Smartphones nyingi zilikuwa sina bore charge...nipo na HTC butterfly s.....25hrs is just good to me.

Am nokia fan...tatizo Ni OS...wakianza kutumia android nitawafikiria.
 
ku lag nikufanyaje? (please asinijibu mtu mwingine. anijibu OTIS )

Lagging ni term pana ila waweza sema ni kuchelewa kurespond au apps kuwa nzito kufunguka au kufunguka kwa mnato.
utadhani umefungua file lenye size kubwa na machine ina uwezo mdogo. unaweza bonyeza home screen na icons za apps zikaanza kuja moja moja utadhani unatumia tecno kumbe ni s4..dah
kwa samsung nadhani bado wameshindwa kufanya intergration nzuri kati ya os na hardware kitu ambacho apple wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa.
 
Nasubiri clone S5 tu hoi siitaki mkorea afanye Jataka bwana

hafu bei pendwa. utakuta clone ya S5 ina specs 4GB RAM na camera ya 20Mp na front ya 5Mp. Na mbwembwe zote hadi Air Gesture (Ila water and dust resistant hapa utata) tunauziwa Tsh 350,000 cash. Wakati S5 yenyewe Mbei ya kiwanja. Mill 1.4 hivi.
 
Smartphones nyingi zilikuwa sina bore charge...nipo na HTC butterfly s.....25hrs is just good to me.

Am nokia fan...tatizo Ni OS...wakianza kutumia android nitawafikiria.

Nokia X, X+ and XL wamesikia kilio chako. Andaa pesa chini ya Tsh.300,000 tukuletee 5' display, 5Mp camera na front camera, RAM 768MB, Processor 1Ghz, Android Kitkat bila store ya Google Play.

Nokia... Connecting People! :tea:
 
naomba mtaiwan aphotoe clone twende sambamba

Lazima Hii Mkuuu... Na Madem Wa Vyuon Wanataka Tuwaonge S4 Watu wamewanunulia Clone Tuu... Wao Hawana Ujanja waKugundua Kama Ni Goroka anajua kitu ya Milion Kumbe Laki 280000...

Kumbuka Pia Clone za Note 3 Now Zmezagaa Mtaani
 
Back
Top Bottom