kutana na Samsung galaxy s5

kutana na Samsung galaxy s5

Waliisifia sana S4 nikajichanganya. I really miss my iphone... Android bado ni cha mtoto sana kwa iOS

hawa watu wanacheza na vichwa vyetu.........hiyo S4 watu hata hatujamaliza kusuuza nayo kitaa wanaleta hii........nkt.....IOS nadhani haina mpinzani..........
 
Samsung simu nzuri. Siku wakiweza battery, watakuwa wamewini! Kwa sasa smartphones ikiwemo Samsung ziinaboa sana!!!
 
Zitatolewa nyingi sana ila niliyonayo hadi ipotee ama kuharibika, ndio nitanunua haya ma S mapya mapya.
 
hawa watu wanacheza na vichwa vyetu.........hiyo S4 watu hata hatujamaliza kusuuza nayo kitaa wanaleta hii........nkt.....IOS nadhani haina mpinzani..........

kwa vigezo gani haina mpinzani?
 
mi nasubiria simu ambayo ina MENU ya ukweliukweli,hapo namaanisha ukibonyesha hapa inatoa pilau,ukibonyeza kule inatoa makande na hata ukitaka ugali mnafu ukibonyeza inatoa!
 
  • Thanks
Reactions: amu
ndio jamaa wanavyo claim kuwa battery inaweza kaa mpk 24 hours hujasoma wameweka ultra power saving mode

Ofkoz,nataka nijue level of optimization mpk hyo 10% battery inalast for 24 hours..brightness,background apps,data znakuaje??
 
Kuna kitu kinaitwa MAHABA; Hata kama kitu kikiwa kizuri au kibaya namna gani ukiwa na mahaba au kutokuwa na mahaba nacho then lazima utakipepelea au kukiponda tu. Then kuna kitu kinaitwa ushabiki, ukiwa shabiki wa Iphone, Sony au Samsung then hata kama unaona kabisa Nokia kakuzidi hutakubali hata ukiwekewa kisu shingoni. Mi naamini hivi, anything no matter how small it is kimeongezwa au kitaongezwa kwenye any new flagship coming I will call it new. Umasikini wetu usitufanye tuwe wachambuzi wazuri saaana hivi kwasababu I believe wenye uwezo wa kuwa nazo wala hata huwa hawaangalii ina nini ila ni kipi kipya
 
Ngoja nihamie tu iphone, maana naweza kukaa nayo hata miaka miwili na ikawa bado inatamba sokoni.
 
sijawahi kuelewa kwanini watu wanapenda samsung.
Hakuna simu zina lag kama samsung.
 
Back
Top Bottom