Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 31,273
- 89,324
Mkuu Kwan Kuna San Andreas La Simu? Au ww Unasemea La Pc
GTA la simu iOS na Android tayari kaka. Ila simu iwe na 2Ghz na RAM 2GB
Mkuu Kwan Kuna San Andreas La Simu? Au ww Unasemea La Pc
better kivipi?
Lagging ni term pana ila waweza sema ni kuchelewa kurespond au apps kuwa nzito kufunguka au kufunguka kwa mnato.
utadhani umefungua file lenye size kubwa na machine ina uwezo mdogo. unaweza bonyeza home screen na icons za apps zikaanza kuja moja moja utadhani unatumia tecno kumbe ni s4..dah
kwa samsung nadhani bado wameshindwa kufanya intergration nzuri kati ya os na hardware kitu ambacho apple wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa.
nakataa umevitaja tu vitu bila kutoa ulinganifu wa vitu viwili ili niamini usemayo ni kwelibattery life, durability, UI, OS,
nakataa umevitaja tu vitu bila kutoa ulinganifu wa vitu viwili ili niamini usemayo ni kweli
battery umeambiwa itakaa hata masaa 24 ikiwa kwenye mode ya kusave power
durability sijui umetumia vigezo gani
ui si umesikia wiztouch wameikarabati iwe user friendly
os hapo nakubaliana nawe kiaaasi kwa mbaaaali ila still ni vigumu kuwa na os ambayo inatumiwa na device zaidi ya 1000 tofauti na ikawa stable
Na wewe unakubali kabisa itakaa masaa 24? Na 2800 Amh? Lumia 1320 ana 3400 Amh nayo itakaa masaa mangapi vile?
Nokia ni durable in hardware - hii ni Fact
same cheap plastic looks!..oh, naona wameiga fingerprint scanner! apple rules.
Kwan Apple Ndo Wa Kwanza Kueka Finger Print?
Apple perfected it, samsung naona wanafuata nyayo!:baby:
Apple perfected it, only then samsung ndiyo wakaona potential!samsung wanafata nyayo za nani? apple? if yes. umekubali kuwa samsung perfectes it also but apple wameanza kabla yao. both of them sio wa kwanza. yalikuwepo ma dumb phones zamani yalikuwa na fingerprint
Samsung atasubiri sana kwa BlackBerry
Kaka Tundu La Earphon Sio Lna kizibo Flan Hv...
hao sio tecno. wameitest na wamethibitisha. kama haikai na chaji kwann watudanganye. samsung ni brand kubwa wakidanganya kidogo tu watashukiwa na sio tu nokia kwa udaku wao wa twitter bali kila mtu asiyeipenda
bado unatumia nokia tu
Smartphones nyingi zilikuwa sina bore charge...nipo na HTC butterfly s.....25hrs is just good to me.
Am nokia fan...tatizo Ni OS...wakianza kutumia android nitawafikiria.