mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,920
Huyu jamaa ni mwigizaji maarufu huko marekani, anaitwa Leonardo DiCaprio, ana miaka 48 na hajaoa wala kupata mtoto.....
Hali hii imemjengea umaarufu kwasababu imeonekana ameingia kwenye mahusiano na zaidi ya wanawake 27, lakini anatabia ya kuachana nao punde tu watimizapo miaka 25.....
Anadai kwamba wanawake wa umri huo wanataka kutulia na kuolewa, kitu ambacho yeye hapendelei....
Alipoulizwa kwanini hajaoa mpaka sasa alisema 'ndoa haitabiriki'....
Mwanzoni mwa mwaka huu alionekana akiwa karibu na binti wa miaka 19, watu mitandaoni wamekua wakishangaa sana na kuuliza maswali kuhusu hili....
Hali hii imemjengea umaarufu kwasababu imeonekana ameingia kwenye mahusiano na zaidi ya wanawake 27, lakini anatabia ya kuachana nao punde tu watimizapo miaka 25.....
Anadai kwamba wanawake wa umri huo wanataka kutulia na kuolewa, kitu ambacho yeye hapendelei....
Alipoulizwa kwanini hajaoa mpaka sasa alisema 'ndoa haitabiriki'....
Mwanzoni mwa mwaka huu alionekana akiwa karibu na binti wa miaka 19, watu mitandaoni wamekua wakishangaa sana na kuuliza maswali kuhusu hili....
