Kutana na fundi rangi, kuna mengi ya kujifunza

Nakshi jengo lako nasi. 0766111212
Nakshi nasi.
20211201_090109%20(1).jpg
 
Ndg zangu leo nawaletea Rough Plaster, ni Materials ambayo nnimezalisha mwenyewe hapa Tanzania. Kampuni yangu inaitwa Mimina Co Ltd.


1. Conmix
2. Wall Master
3. Rough material
4. Rough Plaster

Haya ndo majina yaliyo zoeleka.

Ya kwangu ipo kwenye ndoo, ujazo ni 30kg na ndoo 1 inaweza kupaka ukubwa wa 8sqm. Bei ni tsh. 80,000.

Za makampuni mengine wanauza kari ya 110,000 mpka 130,000

Project kubwa ambayo nimefanya ni Marijani Hotel iliyopo Pwani Mchangani Zanzibar.

Utanipata kwa no hii. 0766111212

20200821_172528.jpg
20200621_112140.jpg
IMG-20170514-WA0002.jpg
20210625_072814.jpg

20200821_172551.jpg
 
Ndg zangu leo nawaletea Rough Plaster, ni Materials ambayo nnimezalisha mwenyewe hapa Tanzania. Kampuni yangu inaitwa Mimina Ltd.


1. Conmix
2. Wall Master
3. Rough material
4. Rough Plaster

Haya ndo majina yaliyo zoeleka.

Ya kwangu ipo kwenye ndoo, ujazo ni 30kg na ndoo 1 inaweza kupaka ukubwa wa 8sqm. Bei ni tsh. 80,000.

Za makampuni mengine wanauza kari ya 110,000 mpka 130,000

Project kubwa ambayo nimefanya ni Marijani Hotel iliyopo Pwani Mchangani Zanzibar.

Utanipata kwa no hii. 0766111212View attachment 2207750View attachment 2207754View attachment 2207757View attachment 2207758

View attachment 2207753
Hongera sana uko vzuri, karibu Moshi
 
mkuu 8sqm?????? au umekosea??? inamaana ndoo 3 naweza kupaka kibanda changu na kikaisha
 
Contemporary haina shida ikiwa water proofing imefanyika vizuri, tatizo mafundi wengi bado hawazielewi vizuri, na shida nyingine kubwa wajenzi wanakwepa gharama za utaalam kama vile ma Architect na ma Engineer.

Hii unapaka ukuta ukiwa na plasta nyingine au hata tofali tu
 
Hii unapaka ukuta ukiwa na plasta nyingine au hata tofali tu
Ndg hapa Tanzania tuna changamoto ya wauzaji wa tofali, walio wengi Moulding za kupigia tofali hazina vipimo sahihi ndiyo maana wajenzi wanazingatia uso wamele tofali zilingane lakini nyuma hazilingani.

Hivyo kwa msingi wa swali lako ni vyema kutumia ukuta ambao umepigwa Plaster, lakini kama umekwisha paka rangi ya kawaida hakuna shida unaweza kuweka hiyo Rough Plaster.
 
Ndg hapa Tanzania tuna changamoto ya wauzaji wa tofali, walio wengi Moulding za kupigia tofali hazina vipimo sahihi ndiyo maana wajenzi wanazingatia uso wamele tofali zilingane lakini nyuma hazilingani.

Hivyo kwa msingi wa swali lako ni vyema kutumia ukuta ambao umepigwa Plaster, lakini kama umekwisha paka rangi ya kawaida hakuna shida unaweza kuweka hiyo Rough Plaster.
Natoa ushuhuda, nimetumia product zako. Uliniletea na gari yako nyekundu. Nimepaka kwenye fence yangu imependeza sana. Nitakutafuta tena project zijazo.
 
Back
Top Bottom