Nasibuhamisi
Member
- Aug 26, 2023
- 12
- 13
Habari za mda huu wanajamii,
Nimerudi tena kwenu shida yangu ni sehemu gani sahihi kwa sasa naweza nikajifunza masuala ya skimming na mambo ya kupaka rangi kwa hapa Dar au Kama Kuna fundi yeyote atakae amua kunishika mkono juu ya hili ili na mm hapo mbeleni fani hii iweze kunisaidia katika maisha.
Nimerudi tena kwenu shida yangu ni sehemu gani sahihi kwa sasa naweza nikajifunza masuala ya skimming na mambo ya kupaka rangi kwa hapa Dar au Kama Kuna fundi yeyote atakae amua kunishika mkono juu ya hili ili na mm hapo mbeleni fani hii iweze kunisaidia katika maisha.