Fundi rangi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2014
- 3,527
- 1,210
- Thread starter
- #21
Nakushukuru ndg, kwa wakazi wa Dar hiyo Interior design imefanyika Bunju...wala si Masaki...hahaaaa.Hongera mkuu kazi nzuri sana
Nakushukuru ndg, kwa wakazi wa Dar hiyo Interior design imefanyika Bunju...wala si Masaki...hahaaaa.Hongera mkuu kazi nzuri sana
Dahh! Bunju ndio home, one day nitakuja kwa learning boss.Nakushukuru ndg, kwa wakazi wa Dar hiyo Interior design imefanyika Bunju...wala si Masaki...hahaaaa.
Karibu sana ndg.Dahh! Bunju ndio home, one day nitakuja kwa learning boss.
Niko kwenye Industry hio ya ufundi kwenye engo nyingine.
Kazi ya Rough plaster kama inavyo onekana.
Ahsante Ndg.Kazi nzuri
Karibu sana Ndg. Tuite sasa tuyapambe makazi yako.Congrats sana
Kazi zinapendeza, plasta pia una nudu? Iwapo ndiyo, gharama za ufundi unakadiriaje?Habari ndg zangu wana jamii, nimekuwepo hapa kitambo, kwa nafasi hii ya matangazo naendelea kutangaza kazi zangu zinazo husiana na masuala ya rangi.
Wasiliana nami kwa no 0766111212View attachment 2130876View attachment 2130960View attachment 2130962
Plaster pia tunafanya, sehemu kubwa tunapatana kulingana na udogo au ukubwa wa kazi, gharama pia inahusisha aina inayohitajika kufanyika, kama vile design kwenye Plaster.Kazi zinapendeza, plasta pia una nudu? Iwapo ndiyo, gharama za ufundi unakadiriaje?
Jenga nasi. 0766111212Plaster pia tunafanya, sehemu kubwa tunapatana kulingana na udogo au ukubwa wa kazi, gharama pia inahusisha aina inayohitajika kufanyika, kama vile design kwenye Plaster.
Karibuni wadau.Jenga nasi. 0766111212
Ni jukumu letu kuyapamba makazi yako.Karibuni wadau.View attachment 2140023
Tuite tuyanakshi makazi yako. 0766111212.Ni jukumu letu kuyapamba makazi yako.
Jenga nasi.Tuite tuyanakshi makazi yako. 0766111212. View attachment 2142313