Selection ya kidato cha tano kuna mengi ya kujifunza

Maria Nyedetse

JF-Expert Member
Apr 24, 2021
657
1,485
Habari wanajamvi...

Niende kwenye mada; mwaka huu TULIPATA habari kuwa wanaopangwa SAYANSI yaani PCM na PCB ni wenye daraja la kwanza tu tena wavulana ni 7-15 na WASICHANA ni 7-17...

Ni jambo jema kuimarisha msingi wa elimu ili kujihakikishia wataalam bora hapo baadaye; Ninachojiuliza mimi ni haya yafuatayo ambayo naomba wanabodi mnisaidie

1. Serikali huwa inapanga SELECTION kama hakuna shule BINAFSI na inaamini mpaka aliyesoma St. Francis, Feza, Marian, st. Mary Mazinde na kwingineko ataenda shule ya SERIKALI TENA YA KAWAIDA, matokeo yake wanawapanga vijana wengi kutoka shule hizi kwenda shule za serikali wakiamini wataenda.

UHALISIA wengi hawaendi na huziba nafasi za wengine bila sababu, Je Serikali hawalioni na kujifunza kutokana na hili?

2. Kutokana na kupanga SELECTION kwa assumptions hakuna shule ya BINAFSI ya advance, husababisha wanafunzi wengine waliofaulu kwa wastani wa kawaida yaani mfano DIVISION II amabo utakuta kwenye SAYANSI wana points 7-9 [CBB, CCB,CCC] kushindwa kupata nafasi ya kupangwa kidato cha Vsayansi na matokeo yake hupangewa ARTS kwa kigezo cha kutakuwa na daraja la I, hali hii itawavunja moyo sana vijana kutoka shule za kata na kuona kufanikiwa kusoma SAYANSI ni ngumu sana maana lazima iwe na daraja la I... kumbe wangezingatia UWEPO WA SHULE ZA ADVANCE ZA KIDATO CHA TANO ZA PRIVATE BASI VIJANA HAWA WANGEPATA NAFASI YA KUTIMIZA NDOTO ZAO ZA KUSOMA SAYANSI.

3. Je baada ya kupita muda wa kureport kidato cha tano kwa shule za serikali na kujiridhisha kuwa kuna wengi wameenda PRIVATE, Nafasi zao zitajazwa na AKINA NANI wakati walikuwa na sifa WAMEPELEKWA ARTS???

Ni kweli wataalam tulionao MAWIZARANI HUKO wanatosha? Au wanafanya kazi kwa MAZOEA? Vijana wengi sana wamekata tamaa na SELECTION za mwaka huu!! Msichana ana CCC kwenye combinations za PCM na PCB unampelekaje ARTS kwa kigezo tu cha kutokuwa na DIVISIONI? Je tunalenga kufanikisha nini?

Kwanini usiwepo utaratibu kuwa na integrated PLAN ya SELECTION inayohusisha SHULE ZA PRIVATE ili watoto hawa waliosoma katika mazingira magumu waweze kupata nafasi ya kutimiza ndoto zao badala ya WATOTO WACHACHE waliotoka kwenye PRIVILEGED FAMILIES za akina PROF. MKENDA kushikilia nafasi mbilimbili na matokeo yake wanatumia moja tu?

SERIKALI IJITAFAKARI KUTOKANA NA HIKI KILICHOFANYWA KWENYE SELECTION MWAKA HUU VINGINEVYO WANAWAVUNJA SANA MOYO VIJANA WALIOPAMBANA KUTIMIZA NDOTO ZAO.

HEBU juilize MWENYE POIT 8- 9 kwenye Combinations za PCM na PCB unampeleka ARTS halafu mwenye point 10 unampeleka VOCATIONAL, hii ni akili au kufanya kazi kwa MAZOEA?

Yaani kuna HAJA TUWE NA KAZI ZA MIKATABA maana hii HABARI YA WATUMISHI WA UMMAH kuwa na uhakika wa kazi [Permanent and Pensionable] inatuletea MAJANGA kwenye TAIFA hili maana hakuna ubunifu ila ni bora tu liende....

Najiuliza hizi SELECTION kuchukua Muda mrefu vile na kuja na huu UTUMBO ni kwa sababu gani? Au hata EXCEL tu kupanga matokeo na shule ni MTIHANI na watu walikuwa wanapiga kimanual manual?

🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Yaani nawahurumia vijana WOTE WALIKUWA NA SIFA ZA KUSOMA SAYANSI LAKINI KWA SABABU YA UVIVU WA KUFIKIRI WATENDAJI WETU wakajikuta wamelekwa H kunani.

YAANI NIMESIMULIWA MPAKA NIKAHISI KULIA, Binti ana C ya physics, C ya Basic math, C ya Chemistry na C ya Biology amepelekwa HKL.

Halafu uniambie tuna WATENDAJI wanaotumia vichwa vyao kufanya kazi zao!!!!!!

ENDELEENI kula tu KODI zetu ila KUNA SIKU.


πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Asnte Sana kwa UZI wako mkuu Ila
Kwa mwanafunzi ambae Ana flat C
PHYSICS-C
CHEMISTRY-C
BIOLOGY-C
MATHEMATICS-C
Huyu hawezi kusoma mchepuo/tahasusi ya science
Huyu lazima apangiwe ARTS COMBINATION
Huoni ni kuna shida? Mwenye point 10 yaani CCD anaenda ufundi [VOCATIONAL] halafu mwenye point 9 anaenda ARTS??

Hii ina make sense? Halafu WANASEMA wanahamasisha watoto wasome SAYANSI?
 
Huoni ni kuna shida? Mwenye point 10 yaani CCD anaenda ufundi [VOCATIONAL] halafu mwenye point 9 anaenda ARTS??

Hii ina make sense? Halafu WANASEMA wanahamasisha watoto wasome SAYANSI?
Kuna shida hapo. Huyo mwenye CCC ana uhakika wa kupata division one au two huko A'level.

Ni bora wangempeleka na yeye ufundi halafu serikali ikatoa mikopo huko ili wapate nguvu kazi kuliko kumpeleka arts.


Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Habari wanajamvi...

Niende kwenye mada; mwaka huu TULIPATA habari kuwa wanaopangwa SAYANSI yaani PCM na PCB ni wenye daraja la kwanza tu tena wavulana ni 7-15 na WASICHANA ni 7-17...

Ni jambo jema kuimarisha msingi wa elimu ili kujihakikishia wataalam bora hapo baadaye; Ninachojiuliza mimi ni haya yafuatayo ambayo naomba wanabodi mnisaidie
1. Serikali huwa inapanga SELECTION kama hakuna shule BINAFSI na inaamini mpaka aliyesoma St. Francis, Feza, Marian, st. Mary Mazinde na kwingineko ataenda shule ya SERIKALI TENA YA KAWAIDA, matokeo yake wanawapanga vijana wengi kutoka shule hizi kwenda shule za serikali wakiamini wataenda.

UHALISIA wengi hawaendi na huziba nafasi za wengine bila sababu, Je Serikali hawalioni na kujifunza kutokana na hili??

2. Kutokana na kupanga SELECTION kwa assumptions hakuna shule ya BINAFSI ya advance, husababisha wanafunzi wengine waliofaulu kwa wastani wa kawaida yaani mfano DIVISION II amabo utakuta kwenye SAYANSI wana points 7-9 [CBB, CCB,CCC] kushindwa kupata nafasi ya kupangwa kidato cha Vsayansi na matokeo yake hupangewa ARTS kwa kigezo cha kutakuwa na daraja la I, hali hii itawavunja moyo sana vijana kutoka shule za kata na kuona kufanikiwa kusoma SAYANSI ni ngumu sana maana lazima iwe na daraja la I... kumbe wangezingatia UWEPO WA SHULE ZA ADVANCE ZA KIDATO CHA TANO ZA PRIVATE BASI VIJANA HAWA WANGEPATA NAFASI YA KUTIMIZA NDOTO ZAO ZA KUSOMA SAYANSI....

3. Je baada ya kupita muda wa kureport kidato cha tano kwa shule za serikali na kujiridhisha kuwa kuna wengi wameenda PRIVATE, Nafasi zao zitajazwa na AKINA NANI wakati walikuwa na sifa WAMEPELEKWA ARTS???

Ni kweli wataalam tulionao MAWIZARANI HUKO wanatosha? Au wanafanya kazi kwa MAZOEA? Vijana wengi sana wamekata tamaa na SELECTION za mwaka huu!! Msichana ana CCC kwenye combinations za PCM na PCB unampelekaje ARTS kwa kigezo tu cha kutokuwa na DIVISIONI? Je tunalenga kufanikisha nini?

Kwa nini usiwepo utaratibu kuwa na integrated PLAN ya SELECTION inayohusisha SHULE ZA PRIVATE ili watoto hawa waliosoma katika mazingira magumu waweze kupata nafasi ya kutimiza ndoto zao badala ya WATOTO WACHACHE waliotoka kwenye PRIVILEGED FAMILIES za akina PROF. MKENDA kushikilia nafasi mbilimbili na matokeo yake wanatumia moja tu??

SERIKALI IJITAFAKARI KUTOKANA NA HIKI KILICHOFANYWA KWENYE SELECTION MWAKA HUU VINGINEVYO WANAWAVUNJA SANA MOYO VIJANA WALIOPAMBANA KUTIMIZA NDOTO ZAO..

HEBU juilize MWENYE POIT 8- 9 kwenye Combinations za PCM na PCB unampeleka ARTS halafu mwenye point 10 unampeleka VOCATIONAL, hii ni akili au kufanya kazi kwa MAZOEA???

Yaani kuna HAJA TUWE NA KAZI ZA MIKATABA maana hii HABARI YA WATUMISHI WA UMMAH kuwa na uhakika wa kazi [Permanent and Pensionable] inatuletea MAJANGA kwenye TAIFA hili maana hakuna ubunifu ila ni bora tu liende....

Najiuliza hizi SELECTION kuchukua Muda mrefu vile na kuja na huu UTUMBO ni kwa sababu gani? Au hata EXCEL tu kupanga matokeo na shule ni MTIHANI na watu walikuwa wanapiga kimanual manual?



Yaani nawahurumia vijana WOTE WALIKUWA NA SIFA ZA KUSOMA SAYANSI LAKINI KWA SABABU YA UVIVU WA KUFIKIRI WATENDAJI WETU wakajikuta wamelekwa H kunani......

YAANI NIMESIMULIWA MPAKA NIKAHISI KULIA, Binti ana C ya physics, C ya Basic math, C ya Chemistry na C ya Biology amepelekwa HKL.......

Halafu uniambie tuna WATENDAJI wanaotumia vichwa vyao kufanya kazi zao!!!!!!


ENDELEENI kula tu KODI zetu ila KUNA SIKU.....



Mbona hapo kabla mambo yalikuwa yanaenda poa tu huyu Wazir wa ELIMU japo anaitwa Professor ila anaiharibu sana hii wizara.
 
Habari wanajamvi...

Niende kwenye mada; mwaka huu TULIPATA habari kuwa wanaopangwa SAYANSI yaani PCM na PCB ni wenye daraja la kwanza tu tena wavulana ni 7-15 na WASICHANA ni 7-17...

Ni jambo jema kuimarisha msingi wa elimu ili kujihakikishia wataalam bora hapo baadaye; Ninachojiuliza mimi ni haya yafuatayo ambayo naomba wanabodi mnisaidie
1. Serikali huwa inapanga SELECTION kama hakuna shule BINAFSI na inaamini mpaka aliyesoma St. Francis, Feza, Marian, st. Mary Mazinde na kwingineko ataenda shule ya SERIKALI TENA YA KAWAIDA, matokeo yake wanawapanga vijana wengi kutoka shule hizi kwenda shule za serikali wakiamini wataenda.

UHALISIA wengi hawaendi na huziba nafasi za wengine bila sababu, Je Serikali hawalioni na kujifunza kutokana na hili??

2. Kutokana na kupanga SELECTION kwa assumptions hakuna shule ya BINAFSI ya advance, husababisha wanafunzi wengine waliofaulu kwa wastani wa kawaida yaani mfano DIVISION II amabo utakuta kwenye SAYANSI wana points 7-9 [CBB, CCB,CCC] kushindwa kupata nafasi ya kupangwa kidato cha Vsayansi na matokeo yake hupangewa ARTS kwa kigezo cha kutakuwa na daraja la I, hali hii itawavunja moyo sana vijana kutoka shule za kata na kuona kufanikiwa kusoma SAYANSI ni ngumu sana maana lazima iwe na daraja la I... kumbe wangezingatia UWEPO WA SHULE ZA ADVANCE ZA KIDATO CHA TANO ZA PRIVATE BASI VIJANA HAWA WANGEPATA NAFASI YA KUTIMIZA NDOTO ZAO ZA KUSOMA SAYANSI....

3. Je baada ya kupita muda wa kureport kidato cha tano kwa shule za serikali na kujiridhisha kuwa kuna wengi wameenda PRIVATE, Nafasi zao zitajazwa na AKINA NANI wakati walikuwa na sifa WAMEPELEKWA ARTS???

Ni kweli wataalam tulionao MAWIZARANI HUKO wanatosha? Au wanafanya kazi kwa MAZOEA? Vijana wengi sana wamekata tamaa na SELECTION za mwaka huu!! Msichana ana CCC kwenye combinations za PCM na PCB unampelekaje ARTS kwa kigezo tu cha kutokuwa na DIVISIONI? Je tunalenga kufanikisha nini?

Kwa nini usiwepo utaratibu kuwa na integrated PLAN ya SELECTION inayohusisha SHULE ZA PRIVATE ili watoto hawa waliosoma katika mazingira magumu waweze kupata nafasi ya kutimiza ndoto zao badala ya WATOTO WACHACHE waliotoka kwenye PRIVILEGED FAMILIES za akina PROF. MKENDA kushikilia nafasi mbilimbili na matokeo yake wanatumia moja tu??

SERIKALI IJITAFAKARI KUTOKANA NA HIKI KILICHOFANYWA KWENYE SELECTION MWAKA HUU VINGINEVYO WANAWAVUNJA SANA MOYO VIJANA WALIOPAMBANA KUTIMIZA NDOTO ZAO..

HEBU juilize MWENYE POIT 8- 9 kwenye Combinations za PCM na PCB unampeleka ARTS halafu mwenye point 10 unampeleka VOCATIONAL, hii ni akili au kufanya kazi kwa MAZOEA???

Yaani kuna HAJA TUWE NA KAZI ZA MIKATABA maana hii HABARI YA WATUMISHI WA UMMAH kuwa na uhakika wa kazi [Permanent and Pensionable] inatuletea MAJANGA kwenye TAIFA hili maana hakuna ubunifu ila ni bora tu liende....

Najiuliza hizi SELECTION kuchukua Muda mrefu vile na kuja na huu UTUMBO ni kwa sababu gani? Au hata EXCEL tu kupanga matokeo na shule ni MTIHANI na watu walikuwa wanapiga kimanual manual?

🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Yaani nawahurumia vijana WOTE WALIKUWA NA SIFA ZA KUSOMA SAYANSI LAKINI KWA SABABU YA UVIVU WA KUFIKIRI WATENDAJI WETU wakajikuta wamelekwa H kunani......

YAANI NIMESIMULIWA MPAKA NIKAHISI KULIA, Binti ana C ya physics, C ya Basic math, C ya Chemistry na C ya Biology amepelekwa HKL.......

Halafu uniambie tuna WATENDAJI wanaotumia vichwa vyao kufanya kazi zao!!!!!!


ENDELEENI kula tu KODI zetu ila KUNA SIKU.....



πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
Hongera kwa Uzi mzuri kaka japo Mwanzo uliufanya Mgumu sana kuelewa nini hasa unataka...

Je unataka kupendekeza katika hivyo vigezo vya kwenda Sayansi A-level vitofautiane kwa Private na Government/kayumba?

Yaani mfano Private watachukua wenye ONE tuu, Government/kata wachukue wenye TWO.?

Au Private wakishachukua Wao, Government ifanye namna kuziba ma gap? Namna gani, washushe vigezo?

Au wafanyeje hembu sema hio integrated plan unayowaza boss.
 
...

Au wafanyeje hembu sema hio integrated plan unayowaza boss.
... nilivyomwelewa ni kwamba mwanafunzi keshapata admission private school (hizi hutoka mapema sana mara tu baada ya matokeo), yet the same mwanafunzi anapangiwa tena government school (ambazo huja baadaye sana kiasi kwamba huko private walishamaliza hadi syllabus ya term ya kwanza F5); hoja ni kwanini wale ambao walishakuwa admitted private wapangiwe tena government ambako wanaenda kuziba nafasi za wengine?

Kwanini kusiwe na communication kati ya private-government (anaita integrated plan) ili kuzuia hilo kutokea? I think that is her idea.
 
... nilivyomwelewa ni kwamba mwanafunzi keshapata admission private school (hizi hutoka mapema sana mara tu baada ya matokeo), yet the same mwanafunzi anapangiwa tena government school (ambazo huja baadaye sana kiasi kwamba huko private walishamaliza hadi syllabus ya term ya kwanza F5); hoja ni kwanini wale ambao walishakuwa admitted private wapangiwe tena government ambako wanaenda kuziba nafasi za wengine?

Kwanini kusiwe na communication kati ya private-government (anaita integrated plan) ili kuzuia hilo kutokea? I think that is her idea.
Ahaaa nimekupata, haya mfano waliochaguliwa na serikali ni 100, private ikapita na 50, wanaotakiwa kwenda ni gvt ni 50, What does it change kama msimamo wao ni ule ule wa div 1? Twende vzr boss.
 
Asnte Sana kwa UZI wako mkuu Ila
Kwa mwanafunzi ambae Ana flat C
PHYSICS-C
CHEMISTRY-C
BIOLOGY-C
MATHEMATICS-C
Huyu hawezi kusoma mchepuo/tahasusi ya science
Huyu lazima apangiwe ARTS COMBINATION
Umetumia kanuni ipi kumpeleka kwenye arts?umemuelewa vzr mleta mada?amezungumzia mazingira ya wanafunzi wa shule za kata ambao wengi hupata hizo alama za flat C kwenye science,..unawezaje mlinganisha na mtoto aliyesoma private, ukawaweka wote group 1?waliosoma miaka ya 90 na 2000 mwanzoni,wengi tu science flat C walikua wakipangwa Combination za PCM na PCB...kuna umuhimu wa hawa watendaji kufikiri kabla ya kufanya maamuzi...hao watoto waliosoma private O-level wengi hurudi private A-level.
 
Na ndiyo maana wengi saivi wanakataa kwenda Advance kwa sababu ya huu ujinga mtu ana division 2 combi zimebalance kabisa za kwenda kusoma science PCM, PCB, nk, Cha ajabu mtu huyo Wana mrusha HKL na unakuta siyo Ndoto yake hiyo.

Yani hapa ni kama serikari kama imekusudia watoto wa vigogo ndo wasome hizo tahasusi za Science, maana shule nyingi za kata unakuta mazingira siyo rafiki ya kufanya mwanafunzi afaulu kwa division one hizo ambazo wamesema zinatakiwa, mfano hizi shule za sekondari ambazo zipo vijijin mara nyingi unakuta walim wachache, shule nzima unakuta mwalimu wa Mathematics au physics yupo mmoja, huyo mwalimu ndo azunguke shule nzima anafundishe, Sasa hapo kwanini wanafunzi wasifauru kwa kupata c ya physicis au C ya mathe kwa sabab ufinyu wa walimu. Tayari hapo anakua Hana vigezo vya kujiunga advance na tahasusi za Science, kama siyo uonevu kwa family za kimasikini.
Hapa kweli serikari ijitaidi kuboresha aisee.

Kwenye kuwabeba wasichana wamejitaid sanaa mwaka huu maana kwa idadi kubwa ambao wamechaguliwa advance ni wasichana kuliko wanaume.
 
Mtoa mada una hoja ila kumbuka pia kuna ushindani, mwaka huu somo kama Chemistry limefaulisha sana, A na B za kutupwa hivyo unawezakuta wameangalia B ya chemistry kwenda sayansi, kikubwa mwanafunzi mwenye ndoto ya pcm au pcb ajitahidi apate ufaulu mkubwa hata wakichekecha awemo

Kuna wanafunzi vilaza kabisa hata kubalance equation ni shida ila ana C ya chemistry.

Mwanafunzi ahakikishe kwanza Physics anapata C halafu huko kwingine BB
 
Mtoa mada una hoja ila kumbuka pia kuna ushindani, mwaka huu somo kama Chemistry limefaulisha sana, A na B za kutupwa hivyo unawezakuta wameangalia B ya chemistry kwenda sayansi, kikubwa mwanafunzi mwenye ndoto ya pcm au pcb ajitahidi apate ufaulu mkubwa hata wakichekecha awemo

Kuna wanafunzi vilaza kabisa hata kubalance equation ni shida ila ana C ya chemistry.

Mwanafunzi ahakikishe kwanza Physics anapata C halafu huko kwingine BB
wakati tunasoma miaka hiyo kuna dogo alikuja PCB akiwa na Div three, kuna miamba kibao ilikua ni single digits(namaanisha Div one ya 7-9) na wengine walikua na One za kawaida tu

Lakin mpaka tunamaliza six dogo alikula single digit ya PCB kaenda zake MUHAS na kuna wale wa single digits kibao za olevel walikula three na four za mwisho wenye uwezo wakaishia kwenda India, ndiyo Mwaka ambao TO alikua na C ya physics

Suala liwe Combination kubalance, mambo sijui ya Division one au two, hiyo ni subjective

Shule nyingi za government watoto wakifika form three wanachagua sana masomo na kubase huko(arts, science na wengine biashara) sababu ya shortage ya walimu,

tutaua ndoto za madogo wengi kutoka familia za kawaida
 
Hongera kwa Uzi mzuri kaka japo Mwanzo uliufanya Mgumu sana kuelewa nini hasa unataka...

Je unataka kupendekeza katika hivyo vigezo vya kwenda Sayansi A-level vitofautiane kwa Private na Government/kayumba?

Yaani mfano Private watachukua wenye ONE tuu, Government/kata wachukue wenye TWO.?

Au Private wakishachukua Wao, Government ifanye namna kuziba ma gap? Namna gani, washushe vigezo?

Au wafanyeje hembu sema hio integrated plan unayowaza boss.
Mimi siyo kaka anyway

Hoja ni kuwa MFUMO WA SELECTION UWE INTEGRATED meaning uhusishe shule za Private kwa sababu kwa sasa SELECTION zinafanyika kwa assumptions kuwa HATUNA PRIVATE SCHOOL jambo ambalo siyo kweli..

Kwa mazingira haya kuna wanafunzi hasa kutoka PRIVATE watakuwa wanashikiliwa nafasi ambazo hawazitumii meaning anapangwa shule ambayo kwa uhalisia haendi na matokeo yake kuna wengi wenye sifa wanakosa NAFASI.


KUKIWA na integrated plan tutajua kama nchi wangapi wanaenda private na wangapi wanaopt kwenda SERIKALINI ili kuondoa hii changamoto ya kuwa na wanafunzi wanaoshikilia nafasi ambazo kwa uhalisia hawazitumii na hii itawapa nafasi wale wengine wenye sifa wapate nafasi hizo....
 
wakati tunasoma miaka hiyo kuna dogo alikuja PCB akiwa na Div three, kuna miamba kibao ilikua ni single digits(namaanisha Div one ya 7-9) na wengine walikua na One za kawaida tu

Lakin mpaka tunamaliza six dogo alikula single digit ya PCB kaenda zake MUHAS na kuna wale wa single digits kibao za olevel walikula three na four za mwisho wenye uwezo wakaishia kwenda India, ndiyo Mwaka ambao TO alikua na C ya physics

Suala liwe Combination kubalance, mambo sijui ya Division one au two, hiyo ni subjective

Shule nyingi za government watoto wakifika form three wanachagua sana masomo na kubase huko(arts, science na wengine biashara) sababu ya shortage ya walimu,

tutaua ndoto za madogo wengi kutoka familia za kawaida
Sasa shida ni kwamba unakuta kigezo mwaka huu ili upate walau uwe na B kwenye somo mojawapo, hivyo unakuta wengi hufikia vigezo kutokana na nafasi zilizopo hivyo wenye c flat kukosa
 
sema tu wazazi wanakuwa hawana uwezoo ilaa A level ni matesoo ya bure kwa mtoto...
 
Back
Top Bottom