CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,863
- 686
Am waiting miss Judith, natamani ungetoa hayo majumuhisho leo.
Atawaletea majumuisho kutoka Eritrea
Mi nadhani MJ anataka awapotezee muda wenu tu
Jana alidai ataleta ya Eritrea, tumeyaona ndio haya yamejaa upupu zaidi
Sasa hayo majumuisho si yatakuwa takataka kabisa
Maana yatakuwa majumuisho ya sredi zake zote alizomwanzishia Babu hapa JF
Leo Mwakasege aka Mzee wa Upako kawaumbua wale wote waliosema yupo against huduma za Babu
Tena kawaonya waache kuchezea kazi za Mungu anazofanya Babu Mwasapile
Sasa hawa wenzetu ndo bado wanavijidonge vyao mioyoni mwao na 500/- za Babu