Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,955
- 4,663
Mi sijawaelewa mnaomsakama Miss Judy kwa kutueleza babu mwingine wa Eritrea.
Kosa lake ni nini?
Mbona Tarakea ameibuka babu mwingine na yeye naye ameoteshwa kama alivyo wa Loliondo.
Hamwamini kama babu wa Loiondo ni marudio tuu?(awe ametumwa na Mungu au hajatumwa)
Kosa lake ni nini?
Mbona Tarakea ameibuka babu mwingine na yeye naye ameoteshwa kama alivyo wa Loliondo.
Hamwamini kama babu wa Loiondo ni marudio tuu?(awe ametumwa na Mungu au hajatumwa)