Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
Hii tabia haikubaliki kiukweli
Msingi wa KUCHEAT ni kuwa mweledi wa UONGO, na kanuni ya kwanza ya kuwa MUONGO, usiwe msahaulifu.Wakuu nadhani baadhi yetu tushakumbwa na hii hali,kwanza ilintokea kwa ex-girl wangu ambapo alitaja jina la jamaa flani hivi,iliniuma sana tukajaachana,binafsi kila ninapocheat nikiwa kunako faragha hujichanganya na hatimaye kutaja jina la mpenzi wangu wakati niko na mwingine tofauti,wadau je tatizo hili husababishwa na nini? Na njia ya kuepukana nalo tafadhali.