Inawezekanaje kuchukua/kuiba jina la mwanafunzi mwingine kulisomea

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,660
46,348
Huwa nashindwa kuelewa nini hasa kinachomaanishwa ninapoona mjadala watu fulani hasa wanasiasa kwamba walisoma au waliendelea na masomo kupitia jina la mwanafunzi mwingine aliyefaulu.

Iliwezekanaje mtu kuchukua jina la mtu mwingine kwenda nalo sekondari akaliacha lake wakati wanafunzi huwasilisha vyeti vyao vya kitaaluma na Passport wanaposajiliwa kuanza masomo ya sekondari?

Pia kwa wanaodaiwa waliokuwa wanachukua majina ya wanafunzia wengine si kuna wanafunzi ambao ulikiwa nao shule watakuwa wanakufamu kwa majina yako halisi ? Utajifichaje?!

Lakini pia miaka ya zamani wanafunzi wenye akili ambao inasemekana majina yao yalikuwa yanaibwa walikuwa wanaweza kufahamika hata wilaya nzima au shule kadhaa sasa iliwezekanaje utambulisho wao ukaibwa kirahisi hivyo bila watu kung'amua kuna mchezo mchafu?!

Na hao walioibiwa au waliochukuliwa majina yao wakiwa wanafunzi wadogo kwa nini huwa hawajitokezi hadharini kudai haki zao??
 
Huwa nashindwa kuelewa nini hasa kinachomaanishwa ninapoona mjadala watu fulani hasa wanasiasa kwamba walisoma au waliendelea na masomo kupitia jina la mwanafunzi mwingine aliyefaulu.

Iliwezekanaje mtu kuchukua jina la mtu mwingine kwenda nalo sekondari akaliacha lake wakati wanafunzi huwasilisha vyeti vyao vya kitaaluma na Passport wanaposajiliwa kuanza masomo ya sekondari?

Pia kwa wanaodaiwa waliokuwa wanachukua majina ya wanafunzia wengine si kuna wanafunzi ambao ulikiwa nao shule watakuwa wanakufamu kwa majina yako halisi ? Utajifichaje?!

Lakini pia miaka ya zamani wanafunzi wenye akili ambao inasemekana majina yao yalikuwa yanaibwa walikuwa wanaweza kufahamika hata wilaya nzima au shule kadhaa sasa iliwezekanaje utambulisho wao ukaibwa kirahisi hivyo bila watu kung'amua kuna mchezo mchafu?!

Na hao walioibiwa au waliochukuliwa majina yao wakiwa wanafunzi wadogo kwa nini huwa hawajitokezi hadharini kudai haki zao??
Umezaliwa mwaka Gani mkuu!,?Iko hivi Zamani watu hasa wa vijijini wengi wao walikuwa hawaendi kwa mfululizo shule!Walimu wakuu pamoja na Walimu walikuwa wanawajazia maksi kama vile wapo!Ikitokea mwenye akili wa shule hiyo au wa shule yoyote kafeli mtihani na nafasi ya wa chini aliye mtoro,basi hupewa jina la mtu huyo kwa kurudia Darasa nk nk.
 
Mdogo wangu hakumaliza darasa la saba. Alifika darasa la sita tukampeleka secondary. Kwa maana hiyo hakudaiwa utambulisho wowote maana hakuwa na cheti chochote.

Kuhusu wanaotumia majina ya watu nadhani ni kwa kipindi cha nyuma ambapo vyeti havikuwa na picha
 
Umezaliwa mwaka Gani mkuu!,?Iko hivi Zamani watu hasa wa vijijini wengi wao walikuwa hawaendi kwa mfululizo shule!Walimu wakuu pamoja na Walimu walikuwa wanawajazia maksi kama vile wapo!Ikitokea mwenye akili wa shule hiyo au wa shule yoyote kafeli mtihani na nafasi ya wa chini aliye mtoro,basi hupewa jina la mtu huyo kwa kurudia Darasa nk nk.
Hawa wanafunzi ambao majina yao huchukuliwa mbona hawajawahi kujitokeza hadharani?
 
Huwa nashindwa kuelewa nini hasa kinachomaanishwa ninapoona mjadala watu fulani hasa wanasiasa kwamba walisoma au waliendelea na masomo kupitia jina la mwanafunzi mwingine aliyefaulu.

Iliwezekanaje mtu kuchukua jina la mtu mwingine kwenda nalo sekondari akaliacha lake wakati wanafunzi huwasilisha vyeti vyao vya kitaaluma na Passport wanaposajiliwa kuanza masomo ya sekondari?

Pia kwa wanaodaiwa waliokuwa wanachukua majina ya wanafunzia wengine si kuna wanafunzi ambao ulikiwa nao shule watakuwa wanakufamu kwa majina yako halisi ? Utajifichaje?!

Lakini pia miaka ya zamani wanafunzi wenye akili ambao inasemekana majina yao yalikuwa yanaibwa walikuwa wanaweza kufahamika hata wilaya nzima au shule kadhaa sasa iliwezekanaje utambulisho wao ukaibwa kirahisi hivyo bila watu kung'amua kuna mchezo mchafu?!

Na hao walioibiwa au waliochukuliwa majina yao wakiwa wanafunzi wadogo kwa nini huwa hawajitokezi hadharini kudai haki zao??
Zamani sio Leo hii
 
Mdogo wangu hakumaliza darasa la saba. Alifika darasa la sita tukampeleka secondary. Kwa maana hiyo hakudaiwa utambulisho wowote maana hakuwa na cheti chochote.

Kuhusu wanaotumia majina ya watu nadhani ni kwa kipindi cha nyuma ambapo vyeti havikuwa na picha
Hiyo ni sekondari ya private au serikali?
Shule za sekondari za serikali huwa zinachagua wanafunzi waliofaulu kutoka orodha ya majina ambayo hupewa na baraza la mitihani.
 
Huwa nashindwa kuelewa nini hasa kinachomaanishwa ninapoona mjadala watu fulani hasa wanasiasa kwamba walisoma au waliendelea na masomo kupitia jina la mwanafunzi mwingine aliyefaulu.

Iliwezekanaje mtu kuchukua jina la mtu mwingine kwenda nalo sekondari akaliacha lake wakati wanafunzi huwasilisha vyeti vyao vya kitaaluma na Passport wanaposajiliwa kuanza masomo ya sekondari?

Pia kwa wanaodaiwa waliokuwa wanachukua majina ya wanafunzia wengine si kuna wanafunzi ambao ulikiwa nao shule watakuwa wanakufamu kwa majina yako halisi ? Utajifichaje?!

Lakini pia miaka ya zamani wanafunzi wenye akili ambao inasemekana majina yao yalikuwa yanaibwa walikuwa wanaweza kufahamika hata wilaya nzima au shule kadhaa sasa iliwezekanaje utambulisho wao ukaibwa kirahisi hivyo bila watu kung'amua kuna mchezo mchafu?!

Na hao walioibiwa au waliochukuliwa majina yao wakiwa wanafunzi wadogo kwa nini huwa hawajitokezi hadharini kudai haki zao??

Hizi mbinu anazo Madelu na DAB
 
Mdogo wangu hakumaliza darasa la saba. Alifika darasa la sita tukampeleka secondary. Kwa maana hiyo hakudaiwa utambulisho wowote maana hakuwa na cheti chochote.

Kuhusu wanaotumia majina ya watu nadhani ni kwa kipindi cha nyuma ambapo vyeti havikuwa na picha
Big problem in the future jaribuni kumtafutia cheti labda kama atajiajiri lakini akija kuajiriwa atakuja kusumbuka kwenye vitu vingi sana.
 
Juz nimeingia na mtu mmoja kwenye ajira wakati wa kuripoti kwa mwajiri , ikabidi mwajiri aiingize taarifa zake kwenye payroll ikaonekana mwamba yupo kwenye payroll kitambo jina hilo hilo na Namba ya NIDA hiyo hiyo, ilikuwa ni balaa
 
Back
Top Bottom