Kusomwa kwa Bajeti leo, Morogoro na Bagamoyo Gesti zote zimejaa tangu wiki iliyopita watumishi wa Serikali wanamalizia mafungua

Kusomwa kwa Bajeti leo, Morogoro na Bagamoyo Gesti zote zimejaa tangu wiki iliyopita watumishi wa Serikali wanamalizia mafungua

Boi Manda

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2023
Posts
623
Reaction score
714
Leo Juni 12 mwaka 2025 nilikwenda Morogoro kwa shughuli zangu za kibiashara kuanzia Msamvu mapa Masika na Mjini yote nyumba za kulala wageni (Gest house) zimejaa

Nikiwauliza wenye nyumba hizo za kulala wageni kulikoni sio kawaida hii hali wakaniambia Watumishi wengi wengi wa Umma wako mji huu kwa ajili ya Senima, mikutano na washable

Nipofuatilia kwa undani nikagundua kuwa kweli kipindi hiki ni mwisho wa mwaka wa Kiserikali na leo bajeti imesomwa hivyo watumishi wanamalizia mafungu ya bajeti ya mwaka uliopita ili yasirudi Serikalini

Kuna jamaa yangu naye alikeenda Bagamoyo akaniambia kuwa amekosa sehemu ya kulala kwa kuwa gesti zote zimejaa ikambidi arudi Dar alale Boko

Miye baada ya kuosa nyumba ya kulala Moro nikaenda uswahili kabisa huko ndio nikapata nafasi ya kulala gesti ambazo bei yake ni rahisi elfu 5 zinatumiwa na Boda Boda kuchukua wake za watu na wanafunzi shuka hazibadilishwi ambapo ni hatari kwa afya ya watu

Miji ya Moro na Bagamoyo ndio miji pendant kwa watumishi wa umma kufanyia mikutano yao wakati Dodoma na Dar kuna hotel nyingi na kubwa lakini hataki kufanyia huko kwa kuwa wanajua watakosa fedha za kujimu (per diem)

Comasava
 
YOTE HAYA WA KULAUMIWA NI MAGUFULI....MARA NYINGINE MJIFUNZE KUTEUWA MGOMBEA MWENZA AMBAYE NI PRESIDENTIAL MATERIAL
Nashangaa sana miye watu wanamshabikia Magu wakati kaharibu mambo mengi sana kwa kitendo chake cha kuua demokrasia nchini wakati upinzania ndio jicho la Serikali ili ifanye vizuri pale inapokoselewa
 
"Jamii forum usiku wa manane"

Samahani mtoa mada nimekumbuka tu huo uzi.
Ila hii nchi pesa zinachezewa basi tu.....
Usijali mchangiaji tupo pamoja na wewe nchango wako muhimu sana hapa
 
Leo Juni 12 mwaka 2025 nilikwenda Morogoro kwa shughuli zangu za kibiashara kuanzia Msamvu mapa Masika na Mjini yote nyumba za kulala wageni (Gest house) zimejaa

Nikiwauliza wenye nyumba hizo za kulala wageni kulikoni sio kawaida hii hali wakaniambia Watumishi wengi wengi wa Umma wako mji huu kwa ajili ya Senima, mikutano na washable

Nipofuatilia kwa undani nikagundua kuwa kweli kipindi hiki ni mwisho wa mwaka wa Kiserikali na leo bajeti imesomwa hivyo watumishi wanamalizia mafungu ya bajeti ya mwaka uliopita ili yasirudi Serikalini

Kuna jamaa yangu naye alikeenda Bagamoyo akaniambia kuwa amekosa sehemu ya kulala kwa kuwa gesti zote zimejaa ikambidi arudi Dar alale Boko

Miye baada ya kuosa nyumba ya kulala Moro nikaenda uswahili kabisa huko ndio nikapata nafasi ya kulala gesti ambazo bei yake ni rahisi elfu 5 zinatumiwa na Boda Boda kuchukua wake za watu na wanafunzi shuka hazibadilishwi ambapo ni hatari kwa afya ya watu

Miji ya Moro na Bagamoyo ndio miji pendant kwa watumishi wa umma kufanyia mikutano yao wakati Dodoma na Dar kuna hotel nyingi na kubwa lakini hataki kufanyia huko kwa kuwa wanajua watakosa fedha za kujimu (per diem)

Comasava
Guest ya elfu5 ndo imekufanya usilale hadi unafungua uzi usiku mnene??
 
Leo Juni 12 mwaka 2025 nilikwenda Morogoro kwa shughuli zangu za kibiashara kuanzia Msamvu mapa Masika na Mjini yote nyumba za kulala wageni (Gest house) zimejaa

Nikiwauliza wenye nyumba hizo za kulala wageni kulikoni sio kawaida hii hali wakaniambia Watumishi wengi wengi wa Umma wako mji huu kwa ajili ya Senima, mikutano na washable

Nipofuatilia kwa undani nikagundua kuwa kweli kipindi hiki ni mwisho wa mwaka wa Kiserikali na leo bajeti imesomwa hivyo watumishi wanamalizia mafungu ya bajeti ya mwaka uliopita ili yasirudi Serikalini

Kuna jamaa yangu naye alikeenda Bagamoyo akaniambia kuwa amekosa sehemu ya kulala kwa kuwa gesti zote zimejaa ikambidi arudi Dar alale Boko

Miye baada ya kuosa nyumba ya kulala Moro nikaenda uswahili kabisa huko ndio nikapata nafasi ya kulala gesti ambazo bei yake ni rahisi elfu 5 zinatumiwa na Boda Boda kuchukua wake za watu na wanafunzi shuka hazibadilishwi ambapo ni hatari kwa afya ya watu

Miji ya Moro na Bagamoyo ndio miji pendant kwa watumishi wa umma kufanyia mikutano yao wakati Dodoma na Dar kuna hotel nyingi na kubwa lakini hataki kufanyia huko kwa kuwa wanajua watakosa fedha za kujimu (per diem)

Comasava
Shuka haibadilishwi, hii kiboko....imagine unalalia shuka aliyolala mbunge, si mnajuwa wabunge wengi ni afya mgogoro.
 
bei yake ni rahisi elfu 5 zinatumiwa na Boda Boda kuchukua wake za watu na wanafunzi shuka hazibadilishwi ambapo ni hatari kwa afya ya watu


Lengo la uzi wako ni hili👆hapo juu
 
Nashangaa sana miye watu wanamshabikia Magu wakati kaharibu mambo mengi sana kwa kitendo chake cha kuua demokrasia nchini wakati upinzania ndio jicho la Serikali ili ifanye vizuri pale inapokoselewa
Bado tu unapambana na Magu, deal na yaliyopo sasa maana hata ukipambana na Magu haikusaidii
 
"Jamii forums usiku wa manane"

Samahani mtoa mada nimekumbuka tu huo uzi.
Ila hii nchi pesa zinachezewa basi tu.....
Nilikosa pa kulala nifanyeje sasa zaidi ya kufungua uzi ili kukuche
 
bei yake ni rahisi elfu 5 zinatumiwa na Boda Boda kuchukua wake za watu na wanafunzi shuka hazibadilishwi ambapo ni hatari kwa afya ya watu


Lengo la uzi wako ni hili👆hapo juu
La hasha hapo nilisherehesha tu lakini hilo sio lengo la uzi
 
Back
Top Bottom