St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,638
- 4,522
Nataka nianze kwa kusema kuwa mimi ni mzima kabisa. Na kama kungekua na dawa ya kupunguza nguvu za kiume ningetumia. Maana katika utu uzima huu wa 45+ bado nina uwezo wa kukimbia hata round tisa. Shida ni kuwa kama miezi miwili iliyopita niliokota kamchepuko sehemu. Cha kushangaza ni kuwa mjomba alikataa Katakata kufanya kazi aliyotakiwa kufanya siku hiyo. Ikabidi nisingizie ugonjwa. Mwanzangu akaondoka japo kwa shingo upande. Hali hii ilishanitokea tena huko nyuma siku ya kwanza wakati bado ndio ninajifunza miaka mingi huko nyuma. Sasa mpaka sasa najiuliza tatizo ni nini?