donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,129
Salama wakuu,
Habari za jioni wakuu? Naomba niende straight kwenye point,
Nimemnunulia mtoto wangu tablet aina ya Atouch ambayo inatumia android version 13. Sasa bwana hii tablet changamoto kubwa ni kufanya installation ya apps. Ukiingia kwenye play store ukachagua app ya kudownload, inafanya downloading vizuri tu lakini ikimaliza utaona inaandika installing karibia dakika 3 mwishowe inafail. Nimejaribu nuclear cache ya playstore na Google services lakini wapi naona ni Yale Yale tu. Naomba msaada wakuu,
Cc
Habari za jioni wakuu? Naomba niende straight kwenye point,
Nimemnunulia mtoto wangu tablet aina ya Atouch ambayo inatumia android version 13. Sasa bwana hii tablet changamoto kubwa ni kufanya installation ya apps. Ukiingia kwenye play store ukachagua app ya kudownload, inafanya downloading vizuri tu lakini ikimaliza utaona inaandika installing karibia dakika 3 mwishowe inafail. Nimejaribu nuclear cache ya playstore na Google services lakini wapi naona ni Yale Yale tu. Naomba msaada wakuu,
Cc