Sasa mwenzio mtawala wa dunia na hela anazo yeye utajilinganishajeHii inaitwa roho ya kwanini, sio kitu kizuri!. Mtu amelitumikia taifa kwa siku 364, hiyo siku moja tuu ya 365 ndio inakuuma?.
Tena sisi Tanzania tuna bahati, siku ya birthday ya mkuu wa nchi ni siku ya kawaida...