BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,712
- 6,505
Miradi ya miundo mbinu kama Barabara, reli, Madaraja ni tofauti na miradi ya kuondoa au kupunguza umasikini.Nchi zilio fanikiwa kuondoa umasikini wa viapto walikuja na miradi mwili na ikaenda sambamba, miradi ya miundo mbinu pamoja na miradi ya kuondoka umasikini wa vipato.
Sasa CCM kutafuta sifa wanawekeza sana kwenye miundombinu huku raia wakiendelea kuwa masikini wa kutupwa, ni kawaida kukuta maeneo yana umeme, maji, Barabara za lami ila kuna umasikini wa kutisha.
Ukifuatilia China ana project za miundo mbinu na pia project za kuondoa umasikini wa Vipato kwa raia wake na amefanikiwa sana. unakuta wana project labda za ufugaji samaki, ufugaji kuku, Bata, uzalishaji wa uyoga na kadhalika.
Madaraja na Barabara hayawezi ondoa kamwe umasikini wa vipato, watu wanahitaji kuwezeshwa kwenye project zitakazo weza kuondoa umasikini wa vipato.
CCM hawataki kuona watu wanaondokana na umasikini wa vipato kwa sababu itakuwa mwisho wa wao kuhonga kanga. ndio maana wanakomaa na miradi ya miundo mbinu pekee.
Sasa CCM kutafuta sifa wanawekeza sana kwenye miundombinu huku raia wakiendelea kuwa masikini wa kutupwa, ni kawaida kukuta maeneo yana umeme, maji, Barabara za lami ila kuna umasikini wa kutisha.
Ukifuatilia China ana project za miundo mbinu na pia project za kuondoa umasikini wa Vipato kwa raia wake na amefanikiwa sana. unakuta wana project labda za ufugaji samaki, ufugaji kuku, Bata, uzalishaji wa uyoga na kadhalika.
Madaraja na Barabara hayawezi ondoa kamwe umasikini wa vipato, watu wanahitaji kuwezeshwa kwenye project zitakazo weza kuondoa umasikini wa vipato.
CCM hawataki kuona watu wanaondokana na umasikini wa vipato kwa sababu itakuwa mwisho wa wao kuhonga kanga. ndio maana wanakomaa na miradi ya miundo mbinu pekee.