nasemajee kusamehe ni weakness kama ni ubaya ubaya.
mtu akikufanyia umafia usimuache hivi hivi dili nae kisawasawa.
I'm out
#Kisasi ni haki.
unasamehe kwa watakaohitaji msamaha amejua amekosa huyo unasamehe lakini kwa jeuri lazima aonje ladha ya jiwe M-ngu mwenyew anasamehe kwa watakaohitaji msamaha wajeuri kuna moto wew nan na wajeuri uwasamehe?Samehe saba mara sabini. Achilia
dunia ni nin? Dunia ni mim kwahy nina haki yakumfunzaUnamuacha tu dunia itamfunza! Huwa hawaendi mbali sana..
Pima nguvu yako lakininasemajee kusamehe ni weakness kama ni ubaya ubaya.
mtu akikufanyia umafia usimuache hivi hivi dili nae kisawasawa.
I'm out
#Kisasi ni haki.
HapanaKusamehe siyo weakness mkuu, ni dalili ya ukomavu wa kihisia pale unapoamua kuupa mwili na nafsi yako uhuru na amani, kwani kuishi ukiwa umebeba chuki na vinyongo mwisho wake utakayeumia ni wewe kuanzia kihisia na kimwili, ni vyema kusamehe na kusonga mbele
Kisasi huleta ghasia na vurugu, tuishi kwa upendo na amani, muache Mungu alipe kisasi chako kwa kuwa kisasi ni chakeHapana
Kisasi ni haki,
Tujifunze kusamehe mkuu ni muhimu sanaPlay part yako
perhaps 🐒,Kila ubaya utalipwa na mlipaji sio mwingine ni wewe uliyoumizwa,tendwa vibaya hakuna wa kukulipia Kisasi you know 😁
Unamuacha tu dunia itamfunza! Huwa hawaendi mbali sana..
Acha wengine wamfunze!dunia ni nin? Dunia ni mim kwahy nina haki yakumfunza
Sawa ila jua kuwa at the end wewe ndiye utakayeumia,fanya hiyo research utakuja kunishukuru siku moja "Usishindwe na ubaya bali ushinde ubaya kwa wema" hii ni kwa faida yako mwenyewe....nasemajee kusamehe ni weakness kama ni ubaya ubaya.
mtu akikufanyia umafia usimuache hivi hivi dili nae kisawasawa.
I'm out
#Kisasi ni haki.
wasipojitokeza inamaana hatofunzwa ataendelea na ujinga wake walai mim mtu akinifanyia ujinga na akaja kwangu lazima nimchijie kuku ale atoke ameshibaAcha wengine wamfunze!