Everything is useless ukitumia akili nyingi!Ndoa ni utapeli dogo
🤔 Yani mtu akutendee umafia halafu useme nimemsamehe huku yeye akiendelea kupeta wewe uko maumivu akilini oya dili nae
Kisa ni haki
Utashindwa kuishi kuendana na mazingira halisi..sasa usipotumia akili si unakuwa nyumbu au?
akili lazima itumike.
Na amekufanyia hivyo kwa kukusudia huku akijidai kuwa lile lishamba nimelipiga wakati wewe sio Mshamba Bali umezingatia Bussness partnership na uaminifu tuaise
unakuta mtu umefanya nae deal la biashara then kakudhulumu kaenda nje ya makubaliano wewe umchekee na umsamehe,
It sounds crazy
Human brain's performance ever since the world was created is approximately 10%.Wala hapew airtime ni mtego tu unasetiwa akijaa tu ni milio
Usikubali kwa mnyonge dhidi ya mtesi wako Dunia haitaki watu dhaifu
Kisasi ni haki😁
Think beyond imagination,Sidhanii
Hio ipo tu kwa waafrica
Unamuacha tu dunia itamfunza! Huwa hawaendi mbali sana..aise
unakuta mtu umefanya nae deal la biashara then kakudhulumu kaenda nje ya makubaliano wewe umchekee na umsamehe,
It sounds crazy
So u gotta prove to ur partner that u were never outdated?🤔Na amekufanyia hivyo kwa kukusudia huku akijidai kuwa lile lishamba nimelipiga wakati wewe sio Mshamba Bali umezingatia Bussness partnership na uaminifu tu
Jasho la mtu (mali), mke/mume wa mtu ndivyo huwa ni vigumu sana binadamu kusamehe, vinginevyo ni sawa na kujilisha upepo tu.Na amekufanyia hivyo kwa kukusudia huku akijidai kuwa lile lishamba nimelipiga wakati wewe sio Mshamba Bali umezingatia Bussness partnership na uaminifu tu
Wapo vzr tuKila ubaya utalipwa na mlipaji sio mwingine ni wewe uliyoumizwa,tendwa vibaya hakuna wa kukulipia Kisasi you know 😁
Kisasi ni hakiHuman brain performance ever since the world was created is approximately 10%.
Endelea kukaza fuvu kuwa kusamehe ni udhaifu ilihali binadamu mwenyewe tu ni dhaifu kiuumbwaji.
Ubinadamu ni kazi/the humanity is work.